Uongo huu wa Kikwete unakera sana!!

Uongo huu wa Kikwete unakera sana!!

Hizi mbinu za wanasiasa wakongwe wanavoongea na vitendo tofauti ndio inayasababisha kuanguka kwa CCM kila uchao, maneno matamu vitendo 0, Ninaamini Magufuli hawezi kukielezea chama kwa uzuri tuu wa kila jambo ataweka na udhaifu hadharani ili wajirekebishe.
 
Kama ilivyo ada jana nikamskia mheshmiwa Kikwete akijinasibu kuwa CCM ilishinda uchaguzi kwa sababu ya sera nzuri na zinazoeleweka kwa watanzania. Huwa nakereka sana kusikia maneno ya aina hii.

Ukweli ni kwamba CCM imekuwa ikishinda chaguzi nyingi kama si zote kwa sehemu kubwa kwa kutumia mbinu chafu, huku kwetu Temeke bwana Mtemvu alitengeneza makundi ya jogging mengi na kuwapa majezi, kuwapeleka beach, kuwanunulia pombe, khanga, tisheti, kofia na hali imekua hivyo maeneo mengi sana nchi nzima.

Ni upofu wa kiwango cha PhD kuita hizo ni sera nzuri. Nadhani ifike wakati viongozi wetu wabadilike waseme ukweli ili siasa zetu zibadilike.
Hakuna mwizi anajisema kuwa yeye ni mwizi mpaka astaafu
 


Na mtandao wa kasi unaotumia,na umeme unaochajia simu na laptop kijijini kwako na kale kashule ka kata ulichopitia zote ni miongoni mwa sera anazosema JK. Tujifunze kushukuru[/QUOTE]


ashukuru nini wakati ni kodi yake? Jua haki zako wewe ebooo!
 

Hawabjamaa wanatumua "Ujinga" wa watanzania kubaki madatakani. Wanahakikisha watz hawapati elimu bora itakayo wafanya wajue ukweli kuhusu utawala wao.

Ndio maana hutumia rasilimali nyingi sana kipindi cha chaguzu kushawishi wale wasio kuwa na rasilimali elimu ili wawachague.

Ona wanavyozuga! Eti kipaumbele chao kwenye elimu ni madawati, hivi tutafika kweli, kama mtu ana mapenzi ya dhati yabkuboresha elimu unaanzaje na Madawati na kuacha walimu!
Kweli kabisa huo ni moja ya mkakati wa kuhakikisha wa watanzania wanaendelea kuwa mambumbu na hivyo kututawala kama watakavyo
 
Mijitu mingine humu ndani ina tabia ya kuacha vichwa vyao kwenye chupa za pombe na kubaki na makalio eti yafanye kazi ya kichwa. Mtu umekwenda shule umeelimika na bado unakubali kuburuzwa na kudanganywa na wanasiasa tena hawa kwenye rangi ya njano na kijani!? Hawajawahi kushinda hata uchaguzi mmjoja toka nipate akili.
Mnakubali vitu kirahisi tu bila kujiuliza na kujiridhisha. Ccm ni wezi wa kila kitu kuanzia kura hadi rasilimali za nchi. Wametutia umaskini wa aina zote na vilaza wengine humu wanashangilia kuumizwa kwa mama na dada zao na hili lichama jizi.
 
Kama ilivyo ada jana nikamskia mheshmiwa Kikwete akijinasibu kuwa CCM ilishinda uchaguzi kwa sababu ya sera nzuri na zinazoeleweka kwa watanzania. Huwa nakereka sana kusikia maneno ya aina hii.

Ukweli ni kwamba CCM imekuwa ikishinda chaguzi nyingi kama si zote kwa sehemu kubwa kwa kutumia mbinu chafu, huku kwetu Temeke bwana Mtemvu alitengeneza makundi ya jogging mengi na kuwapa majezi, kuwapeleka beach, kuwanunulia pombe, khanga, tisheti, kofia na hali imekua hivyo maeneo mengi sana nchi nzima.

Ni upofu wa kiwango cha PhD kuita hizo ni sera nzuri. Nadhani ifike wakati viongozi wetu wabadilike waseme ukweli ili siasa zetu zibadilike.
Wewe ndo mwongo, kama Mtenvu aligawa yote hivyo mbona alipigwa chini na wana Temeke?!!! Watu wengi sisi wenye utimamu hatukuchagua mtu, tulichagua sera_ilani. Ilani ya Ukawa ilikuwa kwenye mtandao! Bibi yako wa uko kijijini anajua website? AMKA KIJANA
 
Ssa wwe ulitaka aseme kwamba ccm haijashinda ili wamtoe roho wanachama acha uzushi!
 
Kama ilivyo ada jana nikamskia mheshmiwa Kikwete akijinasibu kuwa CCM ilishinda uchaguzi kwa sababu ya sera nzuri na zinazoeleweka kwa watanzania. Huwa nakereka sana kusikia maneno ya aina hii.

Ukweli ni kwamba CCM imekuwa ikishinda chaguzi nyingi kama si zote kwa sehemu kubwa kwa kutumia mbinu chafu, huku kwetu Temeke bwana Mtemvu alitengeneza makundi ya jogging mengi na kuwapa majezi, kuwapeleka beach, kuwanunulia pombe, khanga, tisheti, kofia na hali imekua hivyo maeneo mengi sana nchi nzima.

Ni upofu wa kiwango cha PhD kuita hizo ni sera nzuri. Nadhani ifike wakati viongozi wetu wabadilike waseme ukweli ili siasa zetu zibadilike.

Wewe kereka tu wala haidhuru kitu lakini Ndiyo ukweli na ukweli unauma ... Labda Ndiyo unachoita kukereka badala ya kusema roho inakuuma kusikia huo ukweli...
 
Wanajidanganya kama CCM Haikushinda Na wakati SERA zilishindanishwa na Wagombea walipambana Majukuani.Watanzania waliwapima wakaona yupi anaetufaa.CCm imewekeza na mtaji wao mkubwa wao waendelee Mijini,Na kama ni hivyo wametangaza wanaenda Vijijini na kwa hilo wanajidanganya CCM ndo Imezidi Kuimarika Hawadanganyiki
 
Nasikia wale waliokuwa wanafanya uchaguzi leo ni CCM A, bila shaka CCM B,kuanzia leo watasema lini watafanya uchaguzi wao wa ndani kumkabidhi mwenyekiti mpya chama.
 
Faida ya E="imhotep, post: 16941474, member: 105391"]Kikwete ni mwanasiasa aliekomaa kabisa, wewe unakerwa na yako, au utakuwa team lowassa.[/QUOTE]
Faida ya mwanasiasa aliyekomaa ni ipi? Maana Kila kukicha JPM anatumbua hapa na kufumua kule as if for the past 10 yrs there were no government..
 


Na mtandao wa kasi unaotumia,na umeme unaochajia simu na laptop kijijini kwako na kale kashule ka kata ulichopitia zote ni miongoni mwa sera anazosema JK. Tujifunze kushukuru[/QUOTE]
Ulielewa nilichoandika? Umekurupuka.
Mimi ni wa mjini na maisha ya familia yangu ni mazuri. Wewe unategemea kula kwa kusifia watawala. Njaa mbaya sana.
 
Back
Top Bottom