Yapo mambo tunatakiwa kuyazungumza mara kwa mara ili watu wayaelewe. Moja ya mambo hayo ni hili la watu kudaiana hela hadi kufikishana polisi. Mtu binafsi, Saccos au taasisi imekukopesha fedha, na hatimaye umeshindwa kulipa, wanachokifanya ni kukupeleka polisi.
Huko polisi ati unaandikishwa...
Wakati natoka nilimuona Mama yangu akiweka kitu chini ya kiti cha gari, nilishangaa kidogo kwani sikujua sababu yake. Hakuniona, nilisimama kwa muda kumuangalia, alifunga mlango wa gari harakaharaka na kuzungukia kwa nyuma, hakurudia njia ile niliyokua mimi. Bado nilikua na wasiwasi kuwa ni kitu...
"Tunapoteza fedha nyingi kwa kununua dawa nje ya nchi. Niwaombe Maaskofu wetu wahubiri hili. Fedha hizo zingeweza zikabaki hapa nchini na kuzalisha ajira. Cha ajabu hivi vya msingi hatuzungumzii, tunazungumzia vingine, sijui tumelogwa!"- Rais Dkt MagufuliJP
26-03-2018
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.