Recent content by Reckon Master

  1. Reckon Master

    Mjue Korashi Mkuu wa Uajemi (Cyrus the Great of Persian Empire)

    Cyrus mfalme wa Uajemi ametajwa zaidi ya mara thelathin kwenye Biblia.
  2. Reckon Master

    Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

    Mitandaoni kuna maigizo mengi. Sasa ni jukumu la mlengwa wa online dating kuchechemua upi ni uhalisia na upi ni uigizaji. Angalizo sio rahisi kutambua ila inawezekana.
  3. Reckon Master

    Mkazo Zaidi Uwekwe katika Ujasiriamali.

    Biashara inaanza pale ambapo watu wana mahitaji ambayo hayajatamizwa na uwezo na nia ya kutaka kutimiza mahitaji hayo wanao (uwezo wa kununua). Kwa hiyo watu (soko)wa kuwauzia wapo na watakuwepo tu. Watu tuna mahitaji tofauti na utofauti huo wa mahitaji ndio unaoleta sababu ya kutaka...
  4. Reckon Master

    Mkazo Zaidi Uwekwe katika Ujasiriamali.

    Neno ujasiriamali si, neno geni miongoni mwetu na kumekuwa na dhana nyingi sana kuhusiana na ni nani mjasiriamali na ni nani ambaye sio mjariamali. Mjasiriamali katika dhana ya kisasa ni mtu ambaye ni mbunifu au mwanamaendeleo (developer), ambaye anaziona fursa na kutumia nguvu zake, muda wake...
  5. Reckon Master

    ......Maana yake nn? Analiwa Tigo au ni nn?

    Inawezekana! Au msosi alioupata siku hiyo ndio umeleta tabu hiyo. Hahahaha! Yote kwa yote michezo ya ligi ndogo imeshamiri sana siku hizi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Reckon Master

    Uwazi wa Mikataba katika Sekta ya Uziduaji (Mafuta, Gesi na Madini)

    Hahahahaha! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Reckon Master

    Uwazi wa Mikataba katika Sekta ya Uziduaji (Mafuta, Gesi na Madini)

    Ni lazima kuendelea kudai HAKI hii ya mikataba katika sekta ya uziduaji kuwa wazi! Kama hawaweki wazi! Je wanaficha nini? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom