Hongera na Mungu akusimamie. Ila bado sana, bado upo kwenye excitement stage. Subiri ukate miaka mi4-5. Ukutane na kodi za TRA 3-4. Kisha rudi hapa utipe ushuhuda. Kila la kheri mkali
Dunia inahitaji balance. Wawepo wa kujiajiri na wakuajiriwa. Hakuna muda utafika woote tukawa upande mmoja. Ifahamike tu kwamba kujiajiri ni mateso zaidi ya kuajiriwa.
Comment #106 ya jamaa anajiita makebo katiririka matusi shindili. Uzoefu unanionesha, mashoga wengi wana matusi mengi vinywani mwao. Ni watu wa kutukana tukana mitusi mikubwa.
Tuleeni watoto wakuu.
Watu wanafanya judgment vibaya. Mwanamke asiye na chocho ila mnyenyekevu, mwenye kumtuliza mumewe, ni rahisi sana kupata, kuolewa na kutulia na mwanaume mwenye kila kitu.
Mwanamke asiye na chochote ila mnyenyekevu mwenye kumtuliza mumewe ni rahisi kupa, kuolewa na kudumu na mwanaume asiye na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.