Recent content by RealWorld

  1. RealWorld

    Ni kitu gani ulishawahi kudhulumiwa maishani mwako na kinakuuma mpaka leo hii?

    Mkuu sio vipofu tu. Fikiria machizi wa mitaani. Mtoto akizaliwa taahira familia huwa inamlinda anabaki home ndani mpaka kifo chache. Machizi wengi wa kitaa asilimia kubwa ni uchizi wao ni wa kurogwa kwa dhurma, au uchizi wa bange na madawa, wachache sana ni machizi wa kuzaliwa, au kurulwa na...
  2. RealWorld

    Ambao tunaweza kuunga bao tatu tukutane tupeane mbinu za kufikisha nne

    Yote hio huna hela unapambana asikuache. Piga kimoko kwa dk2 sepa
  3. RealWorld

    Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Wewe ni wmwanaume, na Mungu yu ndami yako. Biashara imefail ukiwa na miaka 28, bado mdogo sana wewe, usafishe uMingu wako wa ndani kisha anza upya, hakuna kitu utashindwa. Biashara zina mitihani mingi, nipo kwenye bishara mwaka wa nne huu, nywele zimepukutika kichwani na mvi zimeota kwa slkasi...
  4. RealWorld

    Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Najivunia sana kuzaliwa Dume, ila kuna muda life linapeleka moto sio poa. Mwenetu anapitia kipindi kigumu, hii story tumepewa ni ya upande mmoja, sijui upande wake kuna lipi.
  5. RealWorld

    Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Hii dunia ukiziwa mwanaume inabidi ugangale kwelikweli.
  6. RealWorld

    Hivi neno makebo ni lugha gani?

    Binti wa zamani uwanja ni wako, neno hili nimeanza kulisikia kwako
  7. RealWorld

    Incase ukifikisha 40yrs kama hujapata mafanikio ya kiuchumi huku unamadeni lazima upagawe/dish lazima liyumbe tu

    Hesabu hizi sio za TZ bwashee. Kama ni TZ basi ni wale vijana wanaanza na kitu mkononi, sio hawa walioajiriwa kuuza mayai mtaani kwenye late 10’s zao. Hawa hawana mwalimu, wanajifunza wenyewe kwa kujaribu na kukosea sometime kwenye kukosea wanapoteza kila kitu na kuanza upya.
  8. RealWorld

    Wanao nunua wanawake wapo sahihi zaidi kuliko walio kwenye mahusiano

    Oya acheni uzinzi, mke hana mbadala
  9. RealWorld

    Kwanini""nyie washirikina mnarudisha maendeleo..!Nyuma razima niliseme hili leo

    Kwamba tuache kuroga, kwa hili mtatuua wakuu
  10. RealWorld

    Pata pesa tujue tabia yako

    Masini una humble watu wengi sana
  11. RealWorld

    Usimruhusu mkeo apost insta picha zake wala aende Gym

    Kwamba asibinue traqo insta. Ok
Back
Top Bottom