Mkuu sio vipofu tu. Fikiria machizi wa mitaani. Mtoto akizaliwa taahira familia huwa inamlinda anabaki home ndani mpaka kifo chache. Machizi wengi wa kitaa asilimia kubwa ni uchizi wao ni wa kurogwa kwa dhurma, au uchizi wa bange na madawa, wachache sana ni machizi wa kuzaliwa, au kurulwa na...
Wewe ni wmwanaume, na Mungu yu ndami yako.
Biashara imefail ukiwa na miaka 28, bado mdogo sana wewe, usafishe uMingu wako wa ndani kisha anza upya, hakuna kitu utashindwa.
Biashara zina mitihani mingi, nipo kwenye bishara mwaka wa nne huu, nywele zimepukutika kichwani na mvi zimeota kwa slkasi...
Najivunia sana kuzaliwa Dume, ila kuna muda life linapeleka moto sio poa. Mwenetu anapitia kipindi kigumu, hii story tumepewa ni ya upande mmoja, sijui upande wake kuna lipi.
Hesabu hizi sio za TZ bwashee. Kama ni TZ basi ni wale vijana wanaanza na kitu mkononi, sio hawa walioajiriwa kuuza mayai mtaani kwenye late 10’s zao. Hawa hawana mwalimu, wanajifunza wenyewe kwa kujaribu na kukosea sometime kwenye kukosea wanapoteza kila kitu na kuanza upya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.