KATIKA HISTORIA YA MISRI, waliamini kuwa kuna maisha baada ya kifo, hivyo miili ya watu walikuwa wakifariki, walikuwa wakivalishwa na kufunikwa kwa vitu vilivyoundwa kwa dhahabu, zilizojulikana kama MUMMY. Lakini viungo laini vya binadamu kama moyo, figo na utumbo ulitolewa na kuhifadhiwa katika...