Wasalaam
wakuu
nina mdogo wangu anataka ku apply kujiunga na jeshi la jwtz au polisi mwakani kwani anapenda sana jeshini sasa tatizo moja ni kuwa ana tatoo kwenye bega na amesikia kuwa jeshini huingii kama una tatoo
so anatafuta sehemu hapa Dar ambayo wanatoa tatoo ili aifute tatoo yake
kama...
Graphs kama Histogram, Pie Chart n.k michoro iko kumi na mbili na unaruhusiwa kutumia program yeyote ambayo utakuwa unataka kuitumia
kama zile za kwe ye B plans
Bofya hapa uone aina hizo za graphs
http://www.bplans.com/art_film_theater_business_plan/executive_summary_fc.php...
SALAAM
Tuna uwezo wa ku supply Extra Neutral Alcohol (ENA) zenye standard ya hali ya juu sana kutoka Asia kwa ajili ya kutumikakuzalisha bidhaa kama alcohol na bidhaa zingine za kwenye phamaceutical products..
tuna partnership na labs kubwa za Asia zenye kutengeneza ENA kwa kiwango cha...
Tatizo linaanza kwa waajiri right??
kuna haja ya kuajiri wazungu au waarabu kuja kutuendeshea management ya ndege zetu??
kwani waafrika wenzetu wanaonekana kuwa hawawezi
Hivi kwanini makampuni mengi ya ndege yanakodisha?
kwanini yasinunue ndege zao??
kama hapo juu kwa precision air mmesema kuwa moja ya tatizo lililopelekea kupata hasara ni kuongezeka kwa gharama za ukodishaji...
je inawezekana kuondoa gharama za kukodisha kwa kununua ndege mpya
ni bora uwe na...
Hivi sie wazawa hatuwezi kuanzisha makampuni yetu ya ndege na yakawa yako strong??
Tatizo nini? Au ufadhili kutoka makampuni ya nje??
Mie nitajitoa mhanga aisee kwa kutafuta makampuni ya nje
wataalamu nipeni consultation kwa hili
hivi ni kazi sana mtu kuanzisha kampuni ya ndege iwapo ukitafuta wafadhili nchi za nje??
Nitajitoa mhanga mimi kwa kujairibu
hebu mwenye idea yeyote tulizungumze hili
wataalamu ninawasubiri
Natafuta partners wenye viwanja vilivyosajiriwa ambavyo ni suitable kwa real estates projects kuanzia appartments mpaka commercial buildings wanaosubiri wawekezaji mbali mbali....hasa kwenye miji mikubwa ya Dar na Mwanza...
viwanja hivyo viwe aidha katikati ya jiji na isiwe mbali sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.