Recent content by RDungu

  1. RDungu

    Ladha yangu, undani wangu, uhalisia wangu

    iwee jua iwee mvua tutaendesha gari za ndoto zetu sema Ameeeniii[emoji1544]
  2. RDungu

    Fikra duni ndio chanzo cha kupoteza ndoto za kijana?

    [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
  3. RDungu

    Tanzania ili tuendelee tujiunge na Marekani

    kwamba hatujiwezi na tunachotegemea sana ni sisi kufaidika na ulinzi wao na akilizao za kutumia utajiri wetu ... napinga Most of countries in Africa wanajalibu kusimama nchi kama nchi bila kutemegemea msaada maaana misaada yao ina malimbikizo ya itikad za kijinga na masharti makali sana Mfano...
  4. RDungu

    Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

    ok uzi bora na mtamu sana kwa watu wanaotaka kufanya na kuweza kutoboa ulaya hii ni fursa bora sana na muhimu kwa muda na wakati husika, Maana ukitaka kutoboa inabidi kweli uikane nafsi wataalam wanasema mafanikio ,uhai na umasikin ni vitu vinavyo fatana sana .. Wanaotaka kwenda kutoboa mbele...
  5. RDungu

    Wauza smartphone tukutane hapa

    vivoo[emoji1544][emoji1544][emoji1544]
  6. RDungu

    Uchambuzi: Uyahudi alizaa watoto wawili, mkubwa aliitwa Ukristo na mdogo akaitwa Uislam

    God iz Good All the time Binadam amebadilisha vingi katika kutafuta ahueni na faida yake katika jambo fulan Cha msingi jifunze kwa utashii mkubwaa sana maana miluuzi ni Mingi sana ukishindwa (Ishi katka upendo)
  7. RDungu

    Nguvu ya asili uliyo nayo bila wewe kujua

    Kweli kabisa binadamu tuko connected na mazingira yetu pia tuna uwezo na akili tofaut na kuzidiana [emoji1545]
  8. RDungu

    Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

    ok inaweza kua mbinu ya kumfanya awe invisible lakn kutokana na story teller umo ilikua inakadiliwa kuna watu kuanzia 22.. pia watu walio resist apo ni kama watatu kwa mtazamo wa kawaida Osama na IQ yake asinge kua na akili kama izo just think zen kuficha sura na DNA ndo mshangao zaid pia kuna...
  9. RDungu

    Khazarian Mafia and its evil plan to infiltrate, tyrannize the whole World and eradicate all Abrahamic Religions and take over the World

    [emoji3577][emoji3577] lets continue start get knowledge muhm sana kwa vizaz vyetu kupambana na tatzo inabidi ujue primary source ya tatzo mpk mwaka huu unaisha nazan ntakua nimejaa madin watu mnajua sana[emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Back
Top Bottom