Recent content by RCMM

  1. R

    Uzi wa vyakula tu

  2. R

    Uzi wa vyakula tu

  3. R

    Uzi wa vyakula tu

    Sahani kama yangu, imebaki moja nyingne ilivunjika
  4. R

    INAUZWA Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu

    Jagi la umeme kenwood shilingi ngapi? tofauti na kenwood mna kampuni inayodumu muda mrefu? mna warrant? Rice cooker mnazo? asante
  5. R

    Tuache unafiki, sasa ndio nchi inagawanyika!

    Wapi huko uliko maisha rahisi hivyo? kwetu nyama kilo 9500, sembe na dona 2200, sabuni ya jamaa 3500 wakati wa Magu ilikua 2000 kwa duka la jumla na mtaani 2500
  6. R

    Uzinzi wa mume na housegirl wamuua mke na taxi driver kisa tamaa ya mali

    Basi wasubiri kipigo kutoka kwa Mungu tena natamani apigwe huyu deep na huyo mchepuko wake, wakipwe kwa laana kubwa na magonjwa ili kiburi cha uzima kimtoke
  7. R

    Uzinzi wa mume na housegirl wamuua mke na taxi driver kisa tamaa ya mali

    Mungu akubariki kaka yangu kwa moyo wa utayari na Bwana Yesu akutendee mema ya wokovu wake
  8. R

    Uzinzi wa mume na housegirl wamuua mke na taxi driver kisa tamaa ya mali

    Kweli kaka sio vizuri, mwisho wako sio mzuri na utakumbuka ushauri wetu humu jf na itakua too late. Achana na michepuko, mpokee Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako. Saa yoyote Yesu anaweza kurudi na hatachukua wazinzi au unaweza kufa saa yoyote, je utaenda wapi? huko kuzimu kuna...
  9. R

    Uzinzi wa mume na housegirl wamuua mke na taxi driver kisa tamaa ya mali

    Mkuu unadhani mwisho wa kumsaliti mke wake wa ndoa ni nini? ni mauaji ya mtu yeyote kati yao
  10. R

    Uzinzi wa mume na housegirl wamuua mke na taxi driver kisa tamaa ya mali

    Bado wewe, soon utakufa wewe, au mama j au mke wako, badilika mkuu, unachofanya ni machukizo kwa Mungu na wanadamu kwa hayo mauzinzi yako
  11. R

    Uzi wa vyakula tu

  12. R

    Uzi wa vyakula tu

  13. R

    Uzao wa Nephillim na utawala wa Illuminati

    Hii ni roho ya kutoka kuzimu, sasa shetani ana uzao wake anaoutumia kufanikisha agenda zake. Huyo mbunge anayetetea ushoga atakua ni uzao wa shetani au anatumiwa na shetani pasipo yeye kujijua anatumiwa, mtu yeyote aliye vulnerable kiroho anatumika, usipokua na Roho Mtakatifu unaweza kutumiwa na...
  14. R

    Uzao wa Nephillim na utawala wa Illuminati

    Ndio, na yameshika kila nyanja kuhakikisha yanaleta unajisi
Back
Top Bottom