Siku ya kesho Jumamosi Tanzania yote itahamishia macho na masikio hapa Mwanza ambapo Dr Slaa ataongoza timu ya Tundu Lissu,Suzan Lyimo na John Heche ktk kongamano pamoja na mkutano ktk mahafali ya kuwaaga makamanda wa CHADEMA SAUT.
Watoa mada ni wote tajwa hapo juu, mada ni pamoja na elimu...
Ndugu wadada natafuta mke wa kuoa kupiia katika mtandao huu aliye tayari tuwasiliane! NB. msinishambulie kwa llugha chafu hayo ni mawazo yangu usipopendezwa tafadhari endelea na kazi yako.
Akihojiwa leo jioni katika kituo cha redio METRO FM jijini Mwnza amempinga na kusema na kusema kanuni za bunge zifuatwe kuliko kuwanyima haki wananchi haki ya kuwaona wabunge wao wakiwajibika kwao,pia ameongeza kua kutaongeza uzembe kwa wabunge kwani watajua hawaonekani hivyo hata kulala bungeni...
Tumesikia hivi kalibuni malumbano kati ya spika na makamu wake dhidi ya wabunge wa upinzani kimsingi wapinzani wanawakilisha watu wao na wananchi wapo nyuma yao ndo maana hata mkutano wa wabunge wa upinzani uliofanyika DAR ES SALAAM umati mkubwa ulifulika hayo yote ni kudhihirisha wanazidi...
Hebu fikili ndugu yangu yangu katika kipindi hiki cha likizo ya siku chache ambayo haiwezi kukufanya mtu unae toka hata kilomita 100 nje ya barabara kuu huwezi kudi nyumbani kwa sababuni siku chache lakin mbali na hilo chuo kitaanza masomo kabla loan board hawajatoa acommodation hivi mwanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.