Recent content by Rayman ProphetMcRay

  1. R

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    Rais wetu nimeamin kuwa umekosa Busara lakn ngoja niseme kuwa tuko tayari kufa lakn hatutakubali kufa kama kondoo bali tutakufa kama binadamu. Asante sana Kamanda Lema Mungu Akubariki.
  2. R

    Ni kiongozi gani wa kisiasa ana hotuba kali za kumbadilisha mtu?

    Mbowe, SAID, Dr.SLAA, Lema, Mnyika, Lissu Hapana Chezea hawa watu Kwani Ukiwapa Dk 5 tu lazma usalimu Amri na Kujiunga na Jeshi la Ukombozi.
  3. R

    KITILA MKUMBO: CHADEMA inakua, CCM inasinyaa, lakini kwa kasi ndogo!

    Wasomi bdo ni watumwa wa wanaSIASA, Inaitajika machale usilale, ila wale wasikulishe, ujinga Wakutawale....~Joe makin
  4. R

    Arusha: A libarated zone.

    A-Town 4 life.
  5. R

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Acha Upuuzi hv Sombetini ilikuwa ni kata Ya chama gan.?
  6. R

    Lema aongoza red briged kung'oa mashina ya uvccm leo usiku kata ya sombetini

    Tupia namba yko ya mpesa au tigo pesa, ili CCM wakishnda hapa Sombetini nikutumie kilo 3.,.
  7. R

    Kitu gani kinawafanya viongozi wa CHADEMA wapende kwenda jela kila siku??

    Umejifanya ZUZU kwa kupuuza Historia, kama unahisi unawezo mdogo wa kukumbuka historia mbalimbal za wapigania uhuru, bas jarb kukumbuka japo kidogo tu historia ya mandela alaf utakuwa umepata jibu la mada yako.!
  8. R

    Nilitimiza agizo la Kamati kuu ya CHADEMA dhidi ya TBC

    Hv TBCCM bado Ipo., aaaaagh, mwenye taarifa anijuze.!?
  9. R

    Mwigulu Nchemba ni kiboko ya chadema; afanya kufuru Songea.

    Kumbe chama tawala sera yao kuu ni Chadema, daa nimeamin M4C Pamoja daima ni shi......dah..!
  10. R

    Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

    Pamoja Daima Kamanda Mbowe..!
  11. R

    Jumapili niende Mkutano gani?

    Jangwan ndio Mpango Mzima..!
Back
Top Bottom