Ebooo!!!!! kuna ka bwana mdogo hapo nikadogo kangu tena kapo hapo kitengo cha dharura. Ngoja nikasukumie huu uzi kajibu mashtakaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magari wanajua kuendesha kwenda mbele tuu nakukanyaga brake lesen zao huwa ni kofia wanaeka kwenye dashboard afuu wanaenda mikoani njian humo nivituko hata tair kutoa hawaez
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sifaa za kijinga na uonevu koplo unauliwa na boda kwakisuu. Huko vitani siwatakimbiaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sasaa umepiga kibao. Mwenzako kakuchoma kisu umeaga sasa iko kichapo mnachotembeza ndo kitamfufua boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jifunzen adabu muache na ulevi wakiboyaaa la sivyo vijana washachafukwa
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na cheo chote ukagombane na vitoto mpaka vikuchome kisu ufe. Serikali ipate hasara familia ibaki na matatizo kwajili ya ubabe wakipumbavu tuu. Alomchoma ye hana chakupoteza unakuta ndo wale watu washajichokea. Amejisababishia kifo cha aibu na chakujitakiaa
Sent from my Infinix X652C using...
Nikiwa darasa la sita arusha nikakutana nao mitaa ya sabena. Ananiuliza hospitali ya macho nikamjibu sipajui akatokea anaepajua et tumpeleke atatupa hela tugawane. Me kuskia hela nshapiga hesabu za matumiz safari ikaanza. Tukashuka posta meru tukakatiza arusha meru sec hao uwanja wa nmc sahiv...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.