Wakili Peter Kibatala na Mtobesya have to coach their fellow counsel especially John Mallya,Matata on how to cross examine.
I do really appreciate Mr. Kibatala kwa sababu ni fundi sana katika mahojiano kinzani (Cross examination). Hakika bila yeye kusingekuwa na huu udambuudambu.
Mkuu katika kusajili hiyo kazi yako itabidi ufuate hatua zifuatazo:-
Hatua ya kwanza ni kupeleka maombi ya kusajili hiyo hakimiliki katika mamlaka husika ambayo ni COSOTA. Zifuatazo ni baadhi ya nakala ambazo utaambatinisha katika maombi yako.
1. Nakala 2 za hiyo kazi unayotaka kuisajili( two...
Habari za mchana wakubwa kwa wadogo. Ni matumaini yangu kwamba hamjambo wote humu ndani na manaendelea vyema katika utafutaji wa ridhiki.
Wakuu bila kupoteza muda naombeni ushauri katika hili jambo kwa sababu najiona kabisa kupotea katika uso wa Dunia.
Wakuu kama nitakuwa nakosea...
Mkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.