Recent content by RAYAN THE DON

  1. R

    Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu. Kesi imeahirishwa hadi 17, January 2022

    Nilichogundua hapa ni kwamba waajiri wengi wanapenda incompetent persons. Hii ni kwa sababu competent & smart persons hawapendi kuajiriwa.
  2. R

    Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu. Kesi imeahirishwa hadi 17, January 2022

    Wakili Peter Kibatala na Mtobesya have to coach their fellow counsel especially John Mallya,Matata on how to cross examine. I do really appreciate Mr. Kibatala kwa sababu ni fundi sana katika mahojiano kinzani (Cross examination). Hakika bila yeye kusingekuwa na huu udambuudambu.
  3. R

    2021 AFCON Special Thread

    Mwaka huu hili kombe ni la Morocco.
  4. R

    Msukumo wa wazazi.

    Familia za ki-afrika zina changamoto kubwa sana mkuu.
  5. R

    Msukumo wa wazazi.

    Ku-share changamoto wakati kunasaidia kuondoa sumu mwingine.
  6. R

    Msukumo wa wazazi.

    Ahsante sana mkuu. Ndiyo changamoto za kimaisha.
  7. R

    Msukumo wa wazazi.

    Pamoja mkuu.
  8. R

    Msukumo wa wazazi.

    Duuh aisee.
  9. R

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Januari 10, 2022. Shahidi namba 8 aendelea kutoa ushahidi. Kesi imeahirishwa hadi kesho 11/01/2022

    Leo mawakili wa michongo yaani akina Kibatala wamefurahi sana baada ya kushinda mapingamizi yao.
  10. R

    Naomba kujuzwa namna ya kupata copyright ya video ya youtube

    Mkuu katika kusajili hiyo kazi yako itabidi ufuate hatua zifuatazo:- Hatua ya kwanza ni kupeleka maombi ya kusajili hiyo hakimiliki katika mamlaka husika ambayo ni COSOTA. Zifuatazo ni baadhi ya nakala ambazo utaambatinisha katika maombi yako. 1. Nakala 2 za hiyo kazi unayotaka kuisajili( two...
  11. R

    Msaada unahitajika nimechoka kudanga

    Hahahahh mkuu fanya hivyo aisee.
  12. R

    Msukumo wa wazazi.

    Habari za mchana wakubwa kwa wadogo. Ni matumaini yangu kwamba hamjambo wote humu ndani na manaendelea vyema katika utafutaji wa ridhiki. Wakuu bila kupoteza muda naombeni ushauri katika hili jambo kwa sababu najiona kabisa kupotea katika uso wa Dunia. Wakuu kama nitakuwa nakosea...
  13. R

    Msaada unahitajika nimechoka kudanga

    Mkuu Asprin kwema? Ukiwa kama kaka mkubwa na mkongwe humu ndani jitahidi ummshike mkono huyo dada yetu na uhakikishe unamvusha ng'ambo ya pili kama Musa aliyoyafanya kwa wanawaisrael. Baada ya wewe kufa basi mimi nitashika hicho kijiti kama ambavyo Joshua na Kaleb walivyokuwa.
Back
Top Bottom