Mwalimu huangushiwa mzigo ambao hata mzazi umemshinda!
Hapa naliona hili baada ya mwanafunzi kumkunja mwalimu mbele ya wanafunzi wenzie no one takes care on this.
Unasema mwalimu angemchapa unaanzaje kumchapa mwanafunzi ambaye umechapa wenzie wote tena viboko vi3 yeye akakataa na kukukunja...
Ni takribani wiki moja na nusu hivi tangu video ya kipigo cha Mwanafunzi ilipokuwa ikisambaa ktka mitandao ya kijamii huku serikali ikifanyia uchunguzi suala Hilo na kugundua tukio hilo lilikua likifanyika katika Shule ya Sekondari Mbeya Day.
Tukio hilo liliteka hisia za wengi huku mawaziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.