leo asubuhi akati najiandaa kwenda kazin nasikia mtu akipita nje akitangaza kuwa mzee flan amefarik pia jana na juzi huyo huyo amepita kutangza misiba miwil hii ni baloz ya sehem flani hiv makambako ni hatar sana yan kila siku huku kwetu tunachangia hela za misiba inasikitisha sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.