J.k siyo wa kujaribiwa kiasi hicho, anauwezo hata wa kuwaacha watanzania milioni mkafa na asifanye chochote, kwa hiyo yeye haoni hatari hata watu wakifa, ilimradi Mwanaisha na Riz1 wanaishi yeye yuko poa. Kwa hiyo usitegemee kama mkifa atasikitika au kuchukua hatua yoyote. Ndiyo alivyozaliwa...