mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
Habari zilizotanda magazeti mengi leo:
Mgomo wa madakitari waendelea na wazidi kutanda nchi nzima!
Walimu waipa serikali siku 14 kama madai yao hayatatekelezwa watagoma!
Walimu 746 walala wandamana ofisi ya Mkuu Wa Mkoa Mwanza wa kishinikiza kulipwa madai yao!
Chuo cha muhimbili (medical technicians) chafungwa kwa muda kutokana na ukosefu wa chakula!
Walimu wawafungia maofisa wa idara ya Elimu halmashauri ya kigoma ujiji wakidai mishahara yao ya mwezi wa kwanza na wa pili!
Wafanyakazi wa Tazara wagoma wataka Waziri wa uchukuzi ajiuzuru, wanadai mishahara ya miezi miwili! Maiti na mizigo mbalimbali iliyokuwa isafirishwe yazidi kuharibika!
Habari hizi zote ukizitafakari unabaini wazi kwamba kuna tatizo kubwa! Sijui Kama Rais wetu anayaona haya! Migogoro kila kona ya nchi! Kikwete unajua anakotupeleka!
Mgomo wa madakitari waendelea na wazidi kutanda nchi nzima!
Walimu waipa serikali siku 14 kama madai yao hayatatekelezwa watagoma!
Walimu 746 walala wandamana ofisi ya Mkuu Wa Mkoa Mwanza wa kishinikiza kulipwa madai yao!
Chuo cha muhimbili (medical technicians) chafungwa kwa muda kutokana na ukosefu wa chakula!
Walimu wawafungia maofisa wa idara ya Elimu halmashauri ya kigoma ujiji wakidai mishahara yao ya mwezi wa kwanza na wa pili!
Wafanyakazi wa Tazara wagoma wataka Waziri wa uchukuzi ajiuzuru, wanadai mishahara ya miezi miwili! Maiti na mizigo mbalimbali iliyokuwa isafirishwe yazidi kuharibika!
Habari hizi zote ukizitafakari unabaini wazi kwamba kuna tatizo kubwa! Sijui Kama Rais wetu anayaona haya! Migogoro kila kona ya nchi! Kikwete unajua anakotupeleka!