Unatupeleka wapi Kikwete

mwikumwiku

Senior Member
Jul 15, 2011
153
35
Habari zilizotanda magazeti mengi leo:

Mgomo wa madakitari waendelea na wazidi kutanda nchi nzima!

Walimu waipa serikali siku 14 kama madai yao hayatatekelezwa watagoma!

Walimu 746 walala wandamana ofisi ya Mkuu Wa Mkoa Mwanza wa kishinikiza kulipwa madai yao!

Chuo cha muhimbili (medical technicians) chafungwa kwa muda kutokana na ukosefu wa chakula!

Walimu wawafungia maofisa wa idara ya Elimu halmashauri ya kigoma ujiji wakidai mishahara yao ya mwezi wa kwanza na wa pili!

Wafanyakazi wa Tazara wagoma wataka Waziri wa uchukuzi ajiuzuru, wanadai mishahara ya miezi miwili! Maiti na mizigo mbalimbali iliyokuwa isafirishwe yazidi kuharibika!

Habari hizi zote ukizitafakari unabaini wazi kwamba kuna tatizo kubwa! Sijui Kama Rais wetu anayaona haya! Migogoro kila kona ya nchi! Kikwete unajua anakotupeleka!
 
Habari zilizotanda magazeti mengi leo:

Mgomo wa madakitari waendelea na wazidi kutanda nchi nzima!

Walimu waipa serikali siku 14 kama madai yao hayatatekelezwa watagoma!

Walimu 746 walala wandamana ofisi ya Mkuu Wa Mkoa Mwanza wa kishinikiza kulipwa madai yao!

Chuo cha muhimbili (medical technicians) chafungwa kwa muda kutokana na ukosefu wa chakula!

Walimu wawafungia maofisa wa idara ya Elimu halmashauri ya kigoma ujiji wakidai mishahara yao ya mwezi wa kwanza na wa pili!

Wafanyakazi wa Tazara wagoma wataka Waziri wa uchukuzi ajiuzuru, wanadai mishahara ya miezi miwili! Maiti na mizigo mbalimbali iliyokuwa isafirishwe yazidi kuharibika!

Habari hizi zote ukizitafakari unabaini wazi kwamba kuna tatizo kubwa! Sijui Kama Rais wetu anayaona haya! Migogoro kila kona ya nchi! Kikwete unajua anakotupeleka!

Kama hayo yote ni kweli, na yakitokea nidhahili sasa J.K ameshindwa kazi, inabidi sasa na yeye ajiuzuru tupate viongozi wanaoweza kuwatumikia wananchi.
 
Habari zilizotanda magazeti mengi leo:

Mgomo wa madakitari waendelea na wazidi kutanda nchi nzima!

Walimu waipa serikali siku 14 kama madai yao hayatatekelezwa watagoma!

Walimu 746 walala wandamana ofisi ya Mkuu Wa Mkoa Mwanza wa kishinikiza kulipwa madai yao!

Chuo cha muhimbili (medical technicians) chafungwa kwa muda kutokana na ukosefu wa chakula!

Walimu wawafungia maofisa wa idara ya Elimu halmashauri ya kigoma ujiji wakidai mishahara yao ya mwezi wa kwanza na wa pili!

Wafanyakazi wa Tazara wagoma wataka Waziri wa uchukuzi ajiuzuru, wanadai mishahara ya miezi miwili! Maiti na mizigo mbalimbali iliyokuwa isafirishwe yazidi kuharibika!

Habari hizi zote ukizitafakari unabaini wazi kwamba kuna tatizo kubwa! Sijui Kama Rais wetu anayaona haya! Migogoro kila kona ya nchi! Kikwete unajua anakotupeleka!

Inasikitisha sana huyu Rais wetu. Usalama wataifa wangekuwa wanafanya kazi wanayotakiwa kufanya haya yote yasingetokea. Hakika huyu jamaa sijui anauelewa kwa upana upi wa mambo!!!
 
Mwikumwiku.Usihofu JK anajua anapotupeleka ndio maana kakaa kimya,akiamini tutajionea wenyewe tutakapofika kwenye nchi ya amani.
 
Nchi zingine zilipata maendeleo baada ya kupigana, sisi tunaelekea kupata maendeleo kupitia haya mateso ya kikwete ukombozi uko mbioni kuja.
 
Watakuja wenyewe sasa hv kujibu hoja hii,na majibu yao uwa mepesi na yasiyo na tafakari: cdm wako nyuma ya migogoro yote hiyo na wanaharakati wanatumika kuhiujumu serikali,wakitoka hapo watakuja na matusi,kejeli na kebehi kwa wahusika kama vile waliogoma wauliwe,wafungwe n.k....hawajuagi kujenga hoja hao watu!sasa sijui wanataka matatizo yote hayo ya mishahara nk yatatuliwe na wanaharakati na C.D.M
 
Back
Top Bottom