Kuzembea kitabu, uwezo nilikua nao na ninao hata sasa lakini sikutendea haki muda niliokua nao hapo nyuma.
Najua upumbavu unaogandana na jina mwanafunzi hivyo sihangaiki kuambia toto la mtu lisome kwasababu najua halitanisikiliza
Ah niliwahi, Mungu akaniongoza tu kwa mwalimu wangu mmoja wa siku nyiingi alikua ni mwalimu lakini ni mshkaji yani braza tu ambae unaeza piga nae story yoyote nakumbuka miezi michache nyuma nilikutana nae akaniangalia tu akaniambia "rasta hauko sawa na kuwa mwanaume sio lazima utunze kila kitu...
Bongo hata wa rangi upo yani ni nchini kwako na unabaguliwa na hakuna kitu utafanya chuga kuna kimtaa iko wanakiita PPF huko wa nakaa madoni( hasa wahindi na wazungu, weusi wapo ila wachache ).
Picha linaanza wamefunga njia zote za kuingilia hilo eneo wameweka mageti na KK kapuku ukitaka...
Wewe ndo huna adabu mzee mzima unaenda kutongoza kitoto unachomudu kukizaa ili ugundue nini zee lahovyo sana tafuta kazi za kufanya lima tubustani, soma vitabu, mswalie mtume...n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.