Recent content by Raskazoni

  1. R

    ARUMERU: Diwani wa Kata ya Ngabobo(CHADEMA) ajiuzulu na kutangaza kumuunga mkono Rais Magufuli

    Ivi ukimuunga mkono magu inakuwa lazima ujiuzulu chama chako? Basi nawaende wakahamie nyumbani kwake wavae kanga ili watuhakikishie kwamba kweli wanamuunga mkono, acheni siasa za kitoto nyinyi ccm. Sent from my SM-N910V using JamiiForums mobile app
  2. R

    Ni jitihada za Rais Magufuli au ni danganya toto tu?

    Amezipeleka wapi hizo hela? Banki kuu, kule zilikotoka kwa Rugemarila, ofisi ya CCM, au Ikulu? Hebu tusaidieni wanaojua, na zitapokewa kwa reference gani? Au iko account ya wanaorudisha pesa serikalini? Au CCM katika ubora wake wa sanaa za maigizo wanaendelea. Sent from my SM-N910V using...
  3. R

    Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya?

    Amedhalilishwa Rais wenu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. R

    Mtoto wa JK aula Etihad Airways

    Well said Mkuu Sent from my SM-N910V using JamiiForums mobile app
  5. R

    Mwanza: Polisi Wameua majambazi sita

    Wewe hebu jisikilize unavyopotoka, ingelikuwa ndugu yako amefanyiwa huo unyama wa kushutumiwa na akauwawa bila ya kupelekwa mahakamani ungesemaje? Mahakama zipo kwa wahalifu wote ifike pahala mamlaka ziache usanii wa kisiasa na kuwafanya baadhi ya wananchi kuwa muhanga wa siasa zao chafu.
  6. R

    ACACIA Mining files for arbitration in Tanzania dispute

    Wewe muunge tu hata Mguu
  7. R

    ACACIA Mining files for arbitration in Tanzania dispute

    Mm sio taasisi ya umma kwa hio silazimiki kuanika nilichokifanya kwa time frame yangu mwenyewe, ila Rais wa nchi anawajibika kuonesha mipango ya taifa ya muda mfupi na mrefu, wakati huo anaonesha hatua anazochukua kufikia huko, na pia akikubali ushauri wa wadau ambao ni sisi alotuomba kazi (...
  8. R

    ACACIA Mining files for arbitration in Tanzania dispute

    Anapigana na nani kwa Taifa hili, wapinzani? Ni kipi alichofanikiwa mpaka wakati huu anakaribia uchaguzi mwengine ukiachilia mbali kuendesha serikali kama taasisi yake binafsi na kugombana na taasisi za kimataifa?
  9. R

    ACACIA Mining files for arbitration in Tanzania dispute

    Yaani unakusudia tuungane na jitu pumbavu lisiloweza kutumia akili, ili tuuhakikishie ulimwengu kwamba ss wote akili moja? Au unakusudia tuungane nae huyo Rais ili tukipigwa faini ya mabilioni tusiweze kumlaumu, yaani tuwe wote ss tumeshiriki kuliangamiza taifa? Hebu fafanua mkuu.
  10. R

    Ili Magufuli aibadilishe Tanzania, ni lazima awe Rais kwa zaidi ya miaka kumi

    Huna hoja ila una vioja Pascal Majanga, ivi muna khofu ya nn kuhusu uchaguzi ikiwa huyu muheshimiwa anafanya vizuri? Kwa nn asiweke fair ground Kwa vyama vyote wananchi wakaamua maisha yao?Pascal Majanga hebu jaribu kuipotezea njaa kidogo na kuwa Neutral, itendee haki akili yako, usijaribu...
  11. R

    Ili Magufuli aibadilishe Tanzania, ni lazima awe Rais kwa zaidi ya miaka kumi

    Kwanza nn maana ya Ilani? Maana yake ni ONYO
  12. R

    Kuna wazungu, Waarabu, na wahindi ambao ni Watanzania

    Wapo wengi wangetamani kujiunga na jeshi ama la polisi au Jwtz, lakini wanaanza kuekewa mguu mapema wanapigwa mchujo, ccm wanaogopa wanasema hawa sio wenzao, kwa hio nao wamejiona hawahitajiki sasa wanajitafutia shughuli nyengine za kimaendeleo sasa sijui hizi kelele za nn wakati ni CCM System...
  13. R

    Manji sema usiposema...

    Wewe una uhakika amekamatwa na sare za jeshi? Au umewasahau polisi wa kibongo kwa kubambikia kesi wanazopenda? Na ikichangiwa na bifu na bashite na mkuu wa kaya, ni bahati yake kama hajapewa kesi ya ukamanda wa Kibiti.
  14. R

    Rais anaposema hasafiri nje ya nchi kuhofia watu watapiga dili,hawaamini viongozi wakuu chini yake?

    Alijuaje kuwa Rais akiondoka watu wanapiga dili? Na yy alikuwa akitumia mwanya huo huo aache usanii
  15. R

    Tanzania Mining Industry Investor's Guide 2015. Kumbe Acacia imesajiliwa Tanzania.

    Wewe kweli kilaza ivi wewe hata shule ya msingi pia hukubahatika? Oh sorry kumbe nyinyi ndio viongozi wa kesho? Na huyu wa leo (Magu)si ndio jana akisubiri awe kiongozi? Duh safari ya Taifa hili ngumu kwa viongozi wa namna yenu, kazi ipo, endelea kushabikia ujinga mana wewe ni kati yao.
Back
Top Bottom