Haki Madhubuti
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 183
- 165
Suala la ubaguzi limesemwa sana miaka ya nyuma ila pia hizo jamii ukifatilia utangundua wamejikitika katika biashara na mambo mengine zaidi, hasa ukizingatia miaka ya themanini mwanzoni na kuendelea Jeshi hali ilikuwa mbaya. Hivyo kumpeleka mtoto wako jeshini au yeye mwenyewe kuchagua jeshi ilikuwa ngumu kwani maisha yalikuwa yamebadilika na dunia kwa ujumla.