ACACIA Mining files for arbitration in Tanzania dispute

ACACIA Mining files for arbitration in Tanzania dispute

Kwa mujibu wa kanuni ya 12 ya kijitabu cha majulisho cha mahakama ya usuluhishi ya London, serikali yaTanzania haishurutishiki kwenda kwenye usuluhishi huu London.

Hatujui mkataba kati ya serikali na wawekezaji unasemaje kuhusu hili, kwa kuwa umewekwa kuwa siri kuliko uchi wa mzazi.
 
Yaani unakusudia tuungane na jitu pumbavu lisiloweza kutumia akili, ili tuuhakikishie ulimwengu kwamba ss wote akili moja? Au unakusudia tuungane nae huyo Rais ili tukipigwa faini ya mabilioni tusiweze kumlaumu, yaani tuwe wote ss tumeshiriki kuliangamiza taifa? Hebu fafanua mkuu.

despite weaknesses zake mkulu anapigana sana kwa Taifa hili,jaribu kua nyutro lol
 
Hapa ndipo umuhimu wa watanzania kuungana na kuwa kitu kimoja kumuunga mkono raisi wetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa
Kasoro Lisu ndio hajaungana nasi. Na Masha amejitoa ufahamu ili akaitetee barrick mahakamani
 
Suala la kuunganaa kabla ya vita ni muhimu sana. Hata hivyo ili kuungana kuna prerequisites lazima ziwepo. Bila kazingatia hilo tutaendelea kulaumiana na kukamiana hatimaye viwanda vitayeyuka na uchumi wa kati utakuwa utopia.
 
despite weaknesses zake mkulu anapigana sana kwa Taifa hili,jaribu kua nyutro lol
Anapigana na nani kwa Taifa hili, wapinzani? Ni kipi alichofanikiwa mpaka wakati huu anakaribia uchaguzi mwengine ukiachilia mbali kuendesha serikali kama taasisi yake binafsi na kugombana na taasisi za kimataifa?
 
Anapigana na nani kwa Taifa hili, wapinzani? Ni kipi alichofanikiwa mpaka wakati huu anakaribia uchaguzi mwengine ukiachilia mbali kuendesha serikali kama taasisi yake binafsi na kugombana na taasisi za kimataifa?

mkuu punguza hasira,akishinda au akishindwa,huyo ni rais wetu sote,aibu yake,aibu yetu,unategemea afanye mangapi?,anaziba kwanza mianya ya rushwa,wewe kuanzia ameingia madarakani hadi sasa umejifanyia nini,maendeleo binafsi, in the same time frame ??
 
mkuu punguza hasira,akishinda au akishindwa,huyo ni rais wetu sote,aibu yake,aibu yetu,unategemea afanye mangapi?,anaziba kwanza mianya ya rushwa,wewe kuanzia ameingia madarakani hadi sasa umejifanyia nini,maendeleo binafsi, in the same time frame ??
Mm sio taasisi ya umma kwa hio silazimiki kuanika nilichokifanya kwa time frame yangu mwenyewe, ila Rais wa nchi anawajibika kuonesha mipango ya taifa ya muda mfupi na mrefu, wakati huo anaonesha hatua anazochukua kufikia huko, na pia akikubali ushauri wa wadau ambao ni sisi alotuomba kazi ( wananchi),na sio kututisha na kutuweka vizuizini kwa sababu tunamuelekeza njia, huwezi kuomba kazi na baada ya kuajiriwa ukajipa ownership ya kampuni na juanza kuwaadhibu mabosi waliokuajiri, hayo ni makosa na lazima tutamwambia mkuu njia anayotumia ama ni katika mipango ya kujitajirisha yy na familia yake au ameshindwa kuongoza kwa weledi badala yake anaongoza kwa mihemko.
 
Mm sio taasisi ya umma kwa hio silazimiki kuanika nilichokifanya kwa time frame yangu mwenyewe, ila Rais wa nchi anawajibika kuonesha mipango ya taifa ya muda mfupi na mrefu, wakati huo anaonesha hatua anazochukua kufikia huko, na pia akikubali ushauri wa wadau ambao ni sisi alotuomba kazi ( wananchi),na sio kututisha na kutuweka vizuizini kwa sababu tunamuelekeza njia, huwezi kuomba kazi na baada ya kuajiriwa ukajipa ownership ya kampuni na juanza kuwaadhibu mabosi waliokuajiri, hayo ni makosa na lazima tutamwambia mkuu njia anayotumia ama ni katika mipango ya kujitajirisha yy na familia yake au ameshindwa kuongoza kwa weledi badala yake anaongoza kwa mihemko.

haya mkuu,hio time frame nilikua tu nakutaka,urelate maisha yako na rais,kwa nini unadhania afanye au angefanya vingi kwenye huo muda aliokaa madarakani kuliko wewe, ,??kwani yeye ni super human?...mkuu vuta subira,mambo mazuri yaja,lol,kuna mahali amepinga ushauri wenu 'wadau'???.....siku njema mkuu.
 
Acheni uchawi mtu yupo dar mi nipo sokorabolo nitamuungaje mkono si atafute doctor huko dar au anitumie nauli nije ili nimuunge huo mkono uliyovunjika
 
Yani wakati bado majadiliano na Barrick yakiendelea , Arbitration inatutaka tumlipe Acacia. Ndio raha ya kuongozwa na Kufuli.
 
mkuu punguza hasira,akishinda au akishindwa,huyo ni rais wetu sote,aibu yake,aibu yetu,unategemea afanye mangapi?,anaziba kwanza mianya ya rushwa,wewe kuanzia ameingia madarakani hadi sasa umejifanyia nini,maendeleo binafsi, in the same time frame ??
Dictator huwa anaharibu hata anapokuwa na nia njema! Huyu amejaa mavisasi kama mnyama fulani! Amekataa utawala wa uwajibikaji kwa wananchi kwa kuzuia mawazo mbadala! kwa sasa hivi anaweza kukwapua anavyoweza kwa sababu ametumia madaraka yake kuziba sauti za kumwajibisha!! Hivi Kiwanja cha ndege chato bajeti yake ilipitishwa na bunge lipi? Anakotupeleka ni kwa hatari kuliko anakotutoa sure I am telling you!!!!!!!!!!
 
Kwa mujibu wa kanuni ya 12 ya kijitabu cha majulisho cha mahakama ya usuluhishi ya London, serikali yaTanzania haishurutishiki kwenda kwenye usuluhishi huu London.

Hatujui mkataba kati ya serikali na wawekezaji unasemaje kuhusu hili, kwa kuwa umewekwa kuwa siri kuliko uchi wa mzazi.
Hapo ndipo tatizo lilipolala. Tunabishana humu tu lakini hakuna anayejua mkataba unasemaje.
 
Hapo ndipo tatizo lilipolala. Tunabishana humu tu lakini hakuna anayejua mkataba unasemaje.
Yeah.

Mahakama ya London inasema kwenda kusuluhishwa huko si lazima.

Lakini nafikiri mkataba utakuwa unalazimisha kwamba kukitokea mgogoro ni lazimausuluhishwe mahakama ya London.

Serikali ikikataa inaweza kuwa inavunja imani ya wawekezajikwamba ukiingia mkataba na serikali ya Tanzania, mkataba wako hauna thamani hata ya toilet paper, kwa sababu toilet paper laini unaweza kuchambia, lakini mkataba hata karatasi lake kuchambia halifai na hauheshimiwi.
 
Back
Top Bottom