Recent content by Rashid ntafai

  1. Rashid ntafai

    SHERIA YA KURUDISHA SHAMBA LILILOUZWA

    Naombeni msaada kama kunauwezekano wa kurudisha Shamba lililouzwa.je kuna sheria itakayoniwezesha kurudisha shamba?
  2. Rashid ntafai

    Tofauti ya mla tikiti na ugali asubuhi; Diamond na Kiba

    We hujapakatwa na mme wako siku nyingi au au unahakili ndogo kama za mbu
  3. Rashid ntafai

    Kinyozi mzuri wa saloon anahitajika

    MAWASILIANO ni 0688811110 0718290072
  4. Rashid ntafai

    Kinyozi mzuri wa saloon anahitajika

    Wanajamvi kinyozi mzuri wa berbar shop anahitajika maeneo ya kigamboni
  5. Rashid ntafai

    Nadaiwa kodi ya takataka kwenye kiofisi changu cha tigo pesa

    Ok sawa ila takataka nachomaga mwenyewe ..
  6. Rashid ntafai

    Nadaiwa kodi ya takataka kwenye kiofisi changu cha tigo pesa

    Wanajamvi leo mkusanya kodi amenidai kodi ya takataka kwenye kiofisi changu cha tigo pesa cha ajabu ofisi yangu haina takataka na wala sijawahi ona gari ya takataka ikipita...jamani au ni tapeli tyu ameniibia maana amekuja na mashine ya kielectronic akanilatia recipt
  7. Rashid ntafai

    Rais Magufuli, ashauriwe aache kuchomeka chomeka maneno ya kizungu katika hotuba

    Unaweza ukawa huna hela kwa ajili ya chakula lakini ikafuatilia maneno yasiyo na msaada kwako
  8. Rashid ntafai

    Human resource management book

    Naomba kwa anaejua kitabu kizuri cha human resource management hr na mtunzi wake
Back
Top Bottom