Recent content by Rashid Athumani

  1. Rashid Athumani

    Rasimisha biashara yako

    Habari Ili biashara yako itambulike kisheria basi yakupasa uisajili kwa kuzingatia taratibu zote zinazohitajika ili uweze kukamilisha usajili wako, unaweza kuisajili ukiwa kama mmiliki binafsi (Individual), ubia (Partnership) au Kampuni (Company). Na ili uweze kukamilisha usajili huu lazima...
  2. Rashid Athumani

    Rasimisha Biashara Yako

    Ili biashara yako itambulike kisheria inahitajika isajiliwe na usajili unafanyika kwa kutumia system ya BRELA ORS. Ili uweze kufanikisha usajili huu unahitajika uwe na namba ya NIDA na TIN kwa usajil wa Kampuni. Kwa usajili wa jina binafsi la biashara ni namba ya NIDA tu inatosha. Vitu vingine...
  3. Rashid Athumani

    Msaada namna ya upatikanaji wa leseni ya biashara ya e-commerce

    Msukule Msafi, Salama, kwa kuanza lazima uanze kusajili biashara yako na katika kusajili unaweza kusajili ukiwa kama kampuni au kwa kusajili jina tu la biashara as Proprietorship, lakini itapendeza zaidi kama utasajili ukiwa kama Kampuni maana utakuwa na uwanja mkubwa wa kufanya shughuli...
  4. Rashid Athumani

    Majina ya Biashara

    Karibu sana kiongozi
  5. Rashid Athumani

    Majina ya Biashara

    Kinachofanyika ni kuisajili biashara kwa kukamilisha kuwa na nakala ya Cheti cha usajili ambacho kinapatikana BRELA ambapo unaweza kusajili kama jina tu la biashara au ukasajili kuwa Kampuni kabisa na baada ya hapo kuna zoezi la kwenda TRA kupatiwa TIN ya biashara yako na kufanyiwa makadilio ya...
  6. Rashid Athumani

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Habari, umeshakamilisha usajili wa Kampuni yako?
  7. Rashid Athumani

    Wazo/ushauri wa biashara nina mtaji wa laki tatu (3) Dodoma mjini

    Hongera sana kwa kuwa mpambanaji...kitu cha msingi unatakiwa kujua biashara gani ambayo unaweza kuifanya na ukishaijua unatakiwa upangilie gharama zake za uendeshaji na ufanye mchanganuo wa mauzo uone mapato yake yatakuwaje. Na biashara nzuri kwa kuanza unatakiwa ufanye biashara ambayo wateja...
  8. Rashid Athumani

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Ni wazo zuri lakini lazima kwanza usajili biashara yako na pia uzingatie mahali ambapo unapotaka kuanzisha hiyo biashara. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Rashid Athumani

    Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

    Mi simu yangu nikipigiwa naambiwa inatumika tu sasa sijajua shida nini....mi nikiwapigia nawapata vizuri.
  10. Rashid Athumani

    Natafuta vifaa vya bakery

    Habari mkuu? Nimeupenda huu uzi, naomba unisaidie kufahamu 50 kg ya ngano inatoka mikate mingapi na amira kiasi gani inatumika...
  11. Rashid Athumani

    ShimoAgriconsult Entreprises

    Tulishawahi kuandika Business Plan ya Ufugaji wa nyuki, kilimo cha mahindi, kilimo cha mpunga na Ufugaji wa kuku
  12. Rashid Athumani

    Anzisha kiwanda kidogo nyumbani

    RevenueBrust.com - Earn 10$ Per Referral Link Visit ! Earn 2000$ monthly from home
  13. Rashid Athumani

    Ukweli kuhusu Branch international App

    Je kama unadeni m-pesa wanakupa mkopo?
  14. Rashid Athumani

    Naomba taarifa kuhusu kazi za TAHA Arusha

    Unavyojibu kama wewe ndio Hr...kila kampuni wewe ndio wa kujibu hatujaita bado.
Back
Top Bottom