Msukule Msafi
Member
- Oct 10, 2018
- 55
- 45
Habari wadau, naomba mwenye kufahamu namna ya kupata leseni ya biashara ya duka la mtandaoni tafadhali naomba anijuze taratibu zake na pa kuanzia nawasilisha
Leseni ya e-commerce inatolewa na Brela/ wizara ya viwanda na Biashara. Haina uhusiano na TCRA. Domain ndo unalipia TZNIC kama utatumia kikoa cha .tz
Otherwise kama unaduka tayari na leseni ya duka...na bidhaa unazouza mtandaoni ni zile zile za dukani kwako basi hauhitJi leseni yoyote.