Recent content by raphalena

  1. R

    UWEZEKANO WA KUPATA ADVANCE KWA DVS IV YA 26

    Habari ya leo wapendwa Nawashukuru saana wote ambao mumetoa mwangaza wa namna ya kumsaidia Mpwa wangu. Na namna ambavo mmetoa maelezo kwa wengine walio follow thread yangu wakiwa na issue kama ya huyu mpwa wangu.. baada ya kupembua mulichonambia na kuzidi ulizia uwezekano. UAMUZI OLIOFIKIWA NI...
  2. R

    UWEZEKANO WA KUPATA ADVANCE KWA DVS IV YA 26

    Asante saana Mtaalam wa History I wish nipate details zaidi raphalena10@gmail.com ndo email yangu Thax saana kaka kwa ufafanuzi
  3. R

    UWEZEKANO WA KUPATA ADVANCE KWA DVS IV YA 26

    Asanteni saana kcamp & R100 R100. Hiyo ya advance I & II nimeisikia pia but information is not from.a trusted source
  4. R

    UWEZEKANO WA KUPATA ADVANCE KWA DVS IV YA 26

    Habari ya leo wana jamvi. Mpwa wangu wakiume kapata for ya IV ya 26. Je anaweza kupata nafasi kuendelea Advance hata kwa private!? Kama haiwezekani ataweza kupata ualimu serikalini ama private? Je kuna vyuo vya afya anaweza pata? MATOKEO YAKE NI CIV ~D His ~D Kisw~ C Eng ~C Geo ~ D Chem ~D Bios...
  5. R

    Recruitment agents zimeruhusiwa?

    ndugu Mwananchi, kila jamii inahitaji mabadiliko, yes serikali kwa kutambua hilo ililuhusu kuwapo kwa makampuni ya namna hiyo kuwasaidia job seekers kupata kazi. the problems came, hayo makampuni yalianza kuwanyanyasa watu yanaowapa kazi, mishahara to some company halipwi na mwajili bali...
  6. R

    Retirement benefits zipi napata niachapo kazi katika NGO?

    Jamani asanteni sana. Kwa kunipa mwanga. Nimeelewa huenda ningeforce mambo kwa kujiaminisha sheria ya tz ipo inayonipa mamlaka ya kumtaka boss anilipe. Yes niko na NSSF. And ktk kamkataba kangu. Haijaainishwa nilipwe malipo ya aina yoyote. Pia nilitoa notice ya siku 30. Asanteni kwa ushauri...
  7. R

    Retirement benefits zipi napata niachapo kazi katika NGO?

    Habari zanu wapenda, mie nataka niache kazi ktk NGO maana nimeshapata chaka la serikalini, but BOSS wangu huwa mtata sana ktk malipo, nataka kujua nimalipo gani kisheria niko Intitled kulipwa ikiwa nimeacha kazi kwa kutoa notice ya mwezi mzima? Msaada tafadhari
  8. R

    Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

    Kabla ya kwenda hospital na kupata hizo dawa ka kuregulate hedhi yake. tulianzia kwa Dr. akaangaliwa kwa Ultrasound yes ikaonekana kuna kiuvimbe, ktk mfumo wa uzazi, yule dr. akasema twende ktk chumba cha magonjwa ya akina mama, alipofika huko dr. wa magonjwa ya akina mama akasema huo uvimbe sio...
  9. R

    Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

    Habari zenu wapendwa wa jukwaa la elimu ya afya. kama kichwa kinavoeleza, mke wangu nimeanza ishi nae takribani mwaka sasaa, ila anashindwa kupata hedhi yake karibu mwezi wa 8 sasaaa. tulienda hospital akapewa dawa za kuregulate mzunguko wake wa hedhi, hiyo ilimuwezesha kupata hedhi mara moja...
  10. R

    Nini Marupurupu kwa mtumushi mpya serikalini

    hamjambo wana JF poleni na majukumu kwa mulio katika payroll ya serikali and poleni kwa wale muendeleao kutafuta hiyo system. mimi nimeitwa kazi utumishi naelekea Halmashauri ya Singida. nataka kujua ni allowence zipi na kiasi gani zinatolewa kwa mtumishi mpya anaporeport kazini. na inaweza...
  11. R

    Ajira zinazotangazwa na serikali

    Kaka ili walushortlist inamaa wakiona wafaa watakuweka ktk data base yao sooo kama ni mtumishi utaonekana Au wee huwa unaona waitwao interview majina yameandikwa kwa mkono!! Si ni SIPIYU typed names Pia hayo mashart sio mapya bali ya kisa siku
  12. R

    Zima Moto Updates

    Wasailiwa wametangazwa ktk daily news ya lini mkuu Any way thanks if is real
  13. R

    Kwa wale waliofanya Interview UDOM

    Kaka General ilikuwa na maswali kama 50 ya kuchagua na niw sikumbuki ila hayakuwa magumu sanaa wala usihofu
Back
Top Bottom