Recent content by ranyia

  1. ranyia

    Wanaume kulala chumba kimoja na uwezekano wa kupitiwa na shetani

    Kwanini mnamshambulia mtoa mada badala yakujadili mada iliyoletwa mezani hili ni tatizo letu kubwa watz hata maswala yetu mbalimbali yakitaifa tupo hivi tubadilike ni vizuri hoja ijibiwe kwa hoja sio kumshambulia mtu binafsi Kwa jamii ya sasa ambapo kufanya kinyume na maumbile imekuwa jambo...
  2. ranyia

    CRDB Bank hela zetu nani wanazitoa kwenye account

    Nilichogundua wahudumu wa benki hawatoi taarifa sahihi kumuelewesha mteja juu ya nini kimetokea kwenye akaunti yake labda sababu ya kuharakisha kumuhudumia kupunguza foleni na kumeet TAT kwa hiyo mteja ataambiwa tu jaza form baada ya siku kadhaa akaunti inakuwa sawa hili ndilo linalofanyika...
  3. ranyia

    Hili limekuwa zito sana kwangu. Najisikia guilty sana

    Finally ur back nimefurahi tu lara 1, Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ranyia

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kama ulifungua na akaunti ya chapchap kuna taarifa zinatakiwa kuongezwa kama mwajiriwa hivo yes ni lazima upeleke barua ya mwajiri na kitambulisho
  5. ranyia

    Weekend story! BEN 10

    Ok bebe
  6. ranyia

    Weekend story! BEN 10

    Lara daaa
  7. ranyia

    Weekend story! BEN 10

    Am happy ur back Lara thank yu for this [emoji120][emoji120]
  8. ranyia

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    Where are u lara we mis the old days
  9. ranyia

    Nakusihi wewe mwanamke cheza na muda wako vizuri

    U can keep that advice thanks anyway
  10. ranyia

    Utaratibu wa NMB wa kuchukua mkopo ukiwa na mkopo tayari unaumiza

    Ulichoandika ni upotoshaji mtupu rudi bank upewe majibu sahihi na sio story zakupotosha watu, nakupa mfano ulikopa 10mil kwa riba 19% kwa miaka 6 after 1 year ukafanya topup lets say 15mil kwa riba ya 17% ndo riba yao kwasasa sasa utafanyiwa calculations tena kwa riba hiyo ya 17% mkuu kwa hiyo...
  11. ranyia

    Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

    Jiheshimu u are the one who want to put the proof here i know who u are the way u reply here is the same way u reply people in the group u insult everyone whos against Jeff, i dnt have time for insult
  12. ranyia

    Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

    Put that proof here kama leo ume withdrawal pesa sbb hii information imeletwa leo na createn
  13. ranyia

    Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

    Did u know kuwa Jp market wamezuia clients wao kutoa pesa zao kwenye trading account zao mpaka Jeff arudishe pesa alizochukua bank na wamemfungulia case so how come pesa za clients zipo salama? They say no withdrawal until mgogoro wa tmt n jp uwe solved.
  14. ranyia

    Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

    The bold anahusikaje tena na Tmt as far as i know hata share tmt hana Jeff alimualika tu kwenye group na baadae alijitoa hakuwahi kuwa member wa Tmt.
Back
Top Bottom