Naona Wakuu Hamjamuelewa... Kuna Mimea na Mbinu za Asili ambazo Mungu ameziweka Kupambana na Hawa Viumbe waovu kwahiyo huko pia ni Kutumia Nguvu za Mungu
Hata Yesu Alitumia Tope akampaka Kipofu machoni Baadae akaona. Unahisi alishindwa kumwambia Tu ona
Tatizo Wanawake wengi hasa wale wa Chuoni hawaoni Mbali wanaona Wakiwa na kota tu kila siku ni Photoshoot na Kuweka Instagram kutafuta Danga Litakaloingia Mkenge ili Atrend kwa Lifestyle kitajiri
Katika mapokeo ya Mwanzo 11 Babeli ulikuwa mji wa kwanza uliojengwa baada ya gharika kuu. Binadamu waliamua kuwa na jengo kubwa katika mji na kilele chake kifike mbinguni. Mpango huu haukumpendeza Mungu aliyechanganya lugha ya watu ambao hivyo walilazimika kuachana baadaye bila ya kukamilisha...
Hapa Kuna Kitu.. Ila Ukiweka ushabiki pembeni kuna Asilimia fulani Matokeo hupangwa kabisa kwa maslahi ya kibiashara maana Sasa Hivi watu hawachezi kujifurahisha tu ila wanaangalia Pesa ipo wapi...
So if Liverpool wakishinda then Utabiri wako utakuwa sawa ila wakichukia real madrid itakuwa false
Wafanyabiashara wengi wao hasa wa Kitanzania kwanini inakuwa vigumu sana kuweka bei za bidhaa zenu mnapokuwa mnajinadi na mnanadi bidhaa zenu mitandaoni.
Yaani unakuta mtu umekipenda kitu ila inashangaa unawekewa namba za simu kuulizia bei ya hicho kitu hivi kwa hali ya kawaida kwanini...
Hii nishaiona sehemu fulani nchi za wenzetu.. Usiku wa manane jamaa yupo road mwenyewe alipofika kwenye alama akasimamisha gari kwa dakika chache then Akaendelea
Nipo kwenye hali hii Ila Kuna Vitu fulani huwa Naonaga kama Makusudi vile...
Tunaweza Tukazunguka naye mji mzima Tunatafuta anachokitaka kikikosekana ananinunia mpaka mie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.