Tunaamini vipi ulichokiandika wewe.? Nini Tofauti ya wanao sema mambo hayo ni mazuri na wewe unaesema ni mabaya.? Unawezaje kututhibitishia kwamba wewe upo sahihi na ulichokiandika.? Una Evidence yoyote au confessions zozote zilizo wazi toka kwa victims waliofanya mambo hayo na wakapatwa...
Mr lifecoded People won't understand you once you tell them you don't understand the presence of God particularly Africans.. kwa kuwaambia hutambui uwepo wa Mungu umewapeleka mbali sana they won't understand. Kama ujuavyo huwezi mchukua mtoto wa miaka 3 au 4 kisha umpeleke university first year...
Dar siwezi kuishi mm. Huwa naenda kufanya biashara zangu kisha narudi siku hiyo hiyo mbio mbio.. nakuwa kama nimetoka kwenye shimo la mgodini. Dar ni mji wa kibiashara wala sii pahali salama pa kuishi binadamu tena kwa sasa.. Jiji lenye infrastructure mbovu, HALAFU CHAA AJABU WANAUME WA HUKO...
Ukatoliki hamuufamu vizuri. Katoliki ni dhehebu lenye masharti magumu, ikiwemo sheria zake kali dhidi ya watenda dhambi na waovu. Kama huna imani kisawa sawa na kushika sheria za Mungu lazima utaona Katoliki ni kubaya na utaondoka na kusema kuwa ni kubaya.
Kwanza ieleweke kuwa sera yao ya...
Ukatoliki hamuufamu vizuri. Katoliki ni dhehebu lenye masharti magumu, ikiwemo sheria zake kali dhidi ya watenda dhambi na waovu. Kama huna imani kisawa sawa na kushika sheria za Mungu lazima utaona Katoliki ni kubaya na utaondoka na kusema kuwa ni kubaya.
Kwanza ieleweke kuwa sera yao ya...
Watu weusi mna matatizo sana. wengi hamjielewi nyinyi ni akina nani na mpo hapa Duniani kwasababu zipi na zipi. Hamuelewi uwepo wenu. Ndio maana kila wakati mnakuwa wanyuma nyuma tu kuliko watu wa jamii nyingine isiyo ya weusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.