binafc naona hapo kosa lake kubwa bw;Manara ktk sheria za Fifa ni kujaribu kuichanganya Siasa na Michezo na ktk Sheria za Fifa hilo ni kosa kisheria pale vile alisema Rais Magufuli aingilie suala hilo.
..Mr.Bahinda habar yako,ulivo mjibu huyo bwana khs story ya nyoka hujamtendea haki hata kidogo,always jifunze kupokea unachokipenda na kile usichokipenda kwn daima utajijengea busara na skills kila uchao.
hilo nenoo Werrason..cos'America always hupgania kwa washirika wake So dogo alishasema anaMakombora yakupiga pale Washngton So hapo vita hakuna nakwa ile taarifa yaMjapan kusema still Deplomacy/vikwazo vipo vingi ina Maana watamuwekea vikwazo tu wala sio kupgana na Korea Kaskazin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.