Anapataje hiyo nafasi wakati vijana wenye one ya 5 na 6 wanakosa nafasi. Au hufuatilii ufaulu wa vijana wa PCB form 6? Vijana wanapiga one za 3, 4,5 na 6 kama hawana akili nzuri. hata hivo vyuo vya Private vitanataka vijana fresh na akili kubwa. Huyo mimi ningempa ushauri wa pili kama hana uwezo...
Huwezi kwenda form V kwa PCB kama form una F ya Mathematics. Na pia PCB wanasoma Basic Applied Mathematics. Hivyo, wanapoenda MD tayari wana Mathematics.
Jambo la Msingi kama vyuo vya nje wanakupokea kwa sifa zako ni kupambana TU uende nje hata Hapo INDIA ukale na Pilipili au hapa jirani Uganda
Live au katika maono? Kama ni katika maono inawezekana, ila live haiwezeekani maana Yesu yupo katika mwili wa roho na Mwakasege yupo katika mwili wa nyama. kama ni kwenye maono inawezekana
Tuliambiwa DP World akikaa pale Mogogoni tutapata mafyeza ya kufa mtu ili kuboresha miundombinu. Ni kama miaka ile tunatoa migodi kwa Mabeberu tulivyoaminishwa kwamba nchi ingeweza kuishi kwa madini tu.
Kusoma BSc Physics au Chemistry ndo uelewa wa mambo ya dunia? kwanza hayo mambo ya dunia yapo wapi? ushauri wa msingi ni dogo kusoma kile ambacho anaona ni passion yake ili akija mtaani asijute.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.