Ukanda wa Pwani ipi ni sehemu ya Zenj. Zenj ya nani iliyokuwa na sehemu kubwa wa Pwani. nani kawapa. Na kuliko baki kulikuwa sehemu ya nani. Achaneni kabisa na hizo. Zenj yenyewe ndo sehemu ya Tanganyika na wazenj ni watanganyika waliolowea kama manamba na mabaki ya watumwa. Hivyo, kwao ni...
Kwani wakati huo kulikuwa na Chama kingine?. Mwaka 1965 SERIKALI YA TANU ilichinjilia mbali mfumo wa vyama vingi. Sasa vinakuwaje vya CCM wakati wananchi ndo walioshiriki ujenzi kwa hali na mali.
Hapa ndo Umoja wa Afrika unapoonekana shimo la choo. Yaani Afrika nzima imeshindwa kuchukua hatua kukomesha vita SUDAN na kurejesha utulivu na wakati nchi za Afrika zikiendelea kutumia kodi za wananchi kulipia gharama umoja bwege
Zanzibar ni nchi nyingine. Samia ni Rais wa Tanganyika iliyobatizwa kuwa Tanzania. Kule Zanzibar ni nchi nyingine hivyo, Rais wa nchi moka hawezi kwenda kusimamia masuala ya nchi nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.