Recent content by Ramses II

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa Kanisa Katoliki?

    Kabisa. Kwa wakristo ukishindwa kuishi kama Mkatoliki utakuwa na mamatizo binafsi.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa Kanisa Katoliki?

    Siyo Mbaya maana NINAWI pia ipo Babuloni.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kama unaweza kuchinja ng'ombe, ng'uruwe wewe ni katili kupindukia

    Kabisa. Mimi nitakuja kuacha kula nyama jumla. Tunafanya ukatili mkubwa sana kuchinja wanyama kwa njaa zetu.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Usikose usingizi hiyo ndogo za Kiaarabu hazitatimia
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Huko kufeli ndo sahihi? nani alitakiwa aweke hiyo Katiba vizuri kama siyo Nyerere.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    punguza urojo wewe.! tangu lini Wazaramo na wazigua wa Bagamoyo wawe Wazinzibari Nyie wa humu humu tanganyika, punguza urojo.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Ukanda wa Pwani ipi ni sehemu ya Zenj. Zenj ya nani iliyokuwa na sehemu kubwa wa Pwani. nani kawapa. Na kuliko baki kulikuwa sehemu ya nani. Achaneni kabisa na hizo. Zenj yenyewe ndo sehemu ya Tanganyika na wazenj ni watanganyika waliolowea kama manamba na mabaki ya watumwa. Hivyo, kwao ni...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Philip Mangula: Viwanja vya Michezo ni mali ya CCM

    Kwani wakati huo kulikuwa na Chama kingine?. Mwaka 1965 SERIKALI YA TANU ilichinjilia mbali mfumo wa vyama vingi. Sasa vinakuwaje vya CCM wakati wananchi ndo walioshiriki ujenzi kwa hali na mali.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Mangula: Magufuli hakutoa Rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi 2015. Wajumbe walimuunga mkono Lowassa

    MSUKUMA02 hapa vipi! Bado una wazo la kununua ugomvi?
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Mangula: Magufuli hakutoa Rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi 2015. Wajumbe walimuunga mkono Lowassa

    Jiwe ndiye aliyeifikisha nchi katika hali hii mbaya tuliyonayo isiyozingatia uhuru wa watu na kusigina haki za binadamu
  11. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Nyerere alizingua sana kuhusu huu muundo wa Mungano aliouasisi.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa RSF ya Sudan wapokea msaada wa intelijensia na vifaa kutoka Israel

    Hapa ndo Umoja wa Afrika unapoonekana shimo la choo. Yaani Afrika nzima imeshindwa kuchukua hatua kukomesha vita SUDAN na kurejesha utulivu na wakati nchi za Afrika zikiendelea kutumia kodi za wananchi kulipia gharama umoja bwege
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Zanzibar ni nchi nyingine. Samia ni Rais wa Tanganyika iliyobatizwa kuwa Tanzania. Kule Zanzibar ni nchi nyingine hivyo, Rais wa nchi moka hawezi kwenda kusimamia masuala ya nchi nyingine
Back
Top Bottom