Recent content by Ramses II

  1. R

    JamiiForums Tanzania Je, wajua kwenye Globalization Beberu sio lazima awe Mzungu?, kwa uamuzi wa kiume kujenga Refinery Tanga, tutaweza kushindana na Beberu next door?

    hoja murua kabisa. siku nyingine usiwe unarudi kule kwenye uchawa.
  2. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Nashangaa mpaka leo Polisi wameshindwa kukamata mtu hata 1 wa mauaji ya Oktoba 29, 2025

    Duuh! kwa umri wako njaa na uchawa havitakuwa na manufaa sana.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa kozi ya kusoma

    Anapataje hiyo nafasi wakati vijana wenye one ya 5 na 6 wanakosa nafasi. Au hufuatilii ufaulu wa vijana wa PCB form 6? Vijana wanapiga one za 3, 4,5 na 6 kama hawana akili nzuri. hata hivo vyuo vya Private vitanataka vijana fresh na akili kubwa. Huyo mimi ningempa ushauri wa pili kama hana uwezo...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?

    Jordan na Teofilo Kisanii zinakuhusu
  5. R

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa kozi ya kusoma

    Nashauri aende health system ili aje kubadili kada kuwa Karibu wa Afya
  6. R

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa kozi ya kusoma

    Inategemeana ufaulu ya Diploma. Bila distinction hawezi kupata MD ndani ya Ardhi ya Tanzania
  7. R

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kozi ya Ordinary Diploma in Civil Engineering (DIT) ina mkopo wa HESLB? Taratibu zake zikoje?

    Yap. Ni kozi ya kipaumbele kupata mkopo but lazima huyo mwanafunzi awe Yatima au ametoka kaya maskini inayonufaika na TASAF
  8. R

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali irekebishe Kanuni hizi, zinatuzuia wenye Diploma za Medicine kusomea Degree

    Huwezi kwenda form V kwa PCB kama form una F ya Mathematics. Na pia PCB wanasoma Basic Applied Mathematics. Hivyo, wanapoenda MD tayari wana Mathematics. Jambo la Msingi kama vyuo vya nje wanakupokea kwa sifa zako ni kupambana TU uende nje hata Hapo INDIA ukale na Pilipili au hapa jirani Uganda
  9. R

    JamiiForums Tanzania Ni nani atakayerithi nafasi ya Mwalimu Christopher Mwakasege?

    Live au katika maono? Kama ni katika maono inawezekana, ila live haiwezeekani maana Yesu yupo katika mwili wa roho na Mwakasege yupo katika mwili wa nyama. kama ni kwenye maono inawezekana
  10. R

    JamiiForums Tanzania Tabora tunataka RC Muislam sasa

    Tanzania siyo nchi ya kidini.
  11. R

    JamiiForums Tanzania KERO Nimesafiri toka Mwanza-Musoma kiukweli barabara zetu bado ni changamoto

    Tuliambiwa DP World akikaa pale Mogogoni tutapata mafyeza ya kufa mtu ili kuboresha miundombinu. Ni kama miaka ile tunatoa migodi kwa Mabeberu tulivyoaminishwa kwamba nchi ingeweza kuishi kwa madini tu.
  12. R

    JamiiForums Tanzania KERO Nimesafiri toka Mwanza-Musoma kiukweli barabara zetu bado ni changamoto

    Njoo uione barabara ya Singida-Babati kupitia katesh
  13. R

    JamiiForums Tanzania KERO Nimesafiri toka Mwanza-Musoma kiukweli barabara zetu bado ni changamoto

    Tanzania bado tuna safari ndefu kidogo kufika walio wenzetu kwa sasa.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Aende degree ipi kati ya hizi: Civil, Mechanical, Electrical, Mineral au Data Science? Matokeo yake ni GPA 1.6 (PCM)

    Kusoma BSc Physics au Chemistry ndo uelewa wa mambo ya dunia? kwanza hayo mambo ya dunia yapo wapi? ushauri wa msingi ni dogo kusoma kile ambacho anaona ni passion yake ili akija mtaani asijute.
Back
Top Bottom