Naona hata waweka gps wenyewe hawapo sharp kwa sababu wezi huwa wanaangalia sehemu ambazo watu hawafungi gps ko hapa ilitakiwa wanaohusika na gps waende wenywe maeneo hayo kutoa elimu kuhusu hizo gps maana wengine hata hawajui kama zinatumikaje
Polisi Bagamoyo tusaidieni jamani pikipiki zinaibiwa kila siku, madereva wanaumizwa tunawaomba mchukue hatua stahiki kwa wahusika uhalifu unazidi siku hadi siku siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.