Recent content by Ramos Jr

  1. R

    Ni Sahihi Kisheria, Kanuni na Katiba Mtumishi wa Umma kuwa Mwanachama wa Chama cha Siasa

    Salaam Naomba kuuliza hivi mtumishi wa umma anaruhusiwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Kama ndiyo naomba msingi wake kwa kuzingatia sheria za utumishi wa umma. Naomba kuwasilisha kwa wajuzi wanisaidie
  2. R

    Majina ya kuitwa kwenye Usaili TRA yawekwa hadharani

    Hii ni kwa sababu ya tofauti kubwa ya mishahara iliyopo kati ya halmashauri, wakala, mashirika ya umma, taasisi n.k ndiyo maana kila mtu anataka kupata kazi sehemu kama hizo ambapo mushahara na malupulupu viko juu. Ushauri wangu serikali iangalie upya tofauti kubwa ya mishahara serikalini...
  3. R

    Majina ya kuitwa kwenye Usaili TRA yawekwa hadharani

    Hapa kwa mtazamo wangu wengine tayari wana kazi mahali ila kwa kuwa TRA kuna mushahara mnono na malupulupu mazuri ndiyo maana kila mtu anajaribu bahati ya kwenda huko. Nashauri serikali iweke mishahara yenye uwiano sawa kuanzia halmashauri, wakala,mashirika na taasisi mbalimbali. Watu...
  4. R

    Uhamisho kwa watumishi wa umma

    Kweli bwana kuhama ni haki ya mtu. Jamani mimi natafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi kada ya Afisa maendeleo ya jamii aje kanda ya kaskazini mimi niende kanda ya ziwa.
  5. R

    Kubadilishana kituo cha kazi (Afya)

    Mimi mwenye uhitaji wa kubadilishana kada ya afisa maendeleo ya jamii tuwasiliane.
  6. R

    Uhamisho kwa watumishi wa umma

    Kwa takribani mwaka mzima uhamisho kwa watumishi wa umma umezuiliwa. Kwa kuwa haijulikani ni lini utaruhusiwa, mimi nashauri ni bora kwa wale walioomba kuhama kwa sababu za kiafya wakahamishwa tu ili kuongeza tija kazini.
  7. R

    Yahusu kubadilishana kituo cha kazi.

    Kwa yeyote anayehitaji kubadilishana kituo cha kazi kada ya Afisa Maendeleo ya Jamii II anitafute inbox. Nawasilisha
  8. R

    Kumekucha orodha ya wadaiwa sugu bodi ya mikopo

    Mbona wametoa 28600 wakati walisema wapo zaidi ya laki? Mwenye majibu
  9. R

    Mnyonge mnyongeni ila chake mpeni: Rais Magufuli alitakiwa kuliita daraja jina la "Kikwete"

    Mimi nadhani lingeitwa daraja la SOKOINE MORINGE EDWARD.
  10. R

    Ni nini Tafsiri hii kwa Zitto kabwe na chama chake cha ACT?

    wapinzani wote unaowajua wote wametoka ccm so sitashangaa hilo.
  11. R

    Kutoa ushuhuda kuhusu suala la ajira

    kweli kabisa sekretariati ya ajira wako fair sana.
  12. R

    Jeuri Kenyata kuitenga Tanzania, kuzinyonya Uganda/Rwanda, waishtukia/waipa Kenya kibano

    Kenya walitaka kutuletea jeuri sana. Kama mimi ningekuwa rais wakirudia nasitisha mazima safari za ndege zao kwetu.
  13. R

    Hotuba ya Zitto Kabwe kuaga rasmi Bungeni - Machi 20, 2015

    penye nia pana njia, Mungu atakusaidia kila la kheri katika maisha mapya ya kisiasa.
  14. R

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Mimi nadhani uamuzi mgumu ambao namshauri afanye ni kuachana na siasa tu basi.
  15. R

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Mimi nadhani uamuzi mgumu ambao namshauri afanye ni kuachana na siasa tu basi.
Back
Top Bottom