Hili halina upande mzee. Na mimi wala sijaleta nikasema nimesimama katika upande. Kazi yangu ni kukupa taarifa na kuzichakata kwa pamoja. Tusifanye vitu kwa ushabiki.
Chama cha mapinduzi kupitia katibu wake wa uenezi, Ndugu H. Pole pole wameandaa tukio lililowakutanisha wadau mbalimbali wa burudani wakiwemo wasanii wa maigizo, muziki n.k. Waliloliita #UhuruKunaJambo linalofanyika katika uwanja wa uhuru.
Katika tukio hilo kuna tukio lingine limetokea, ambapo...
Very good point. Swala la kufanya kazi bila weledi litatafuna vyombo vya habari vingi ikiwa Mamlaka zinazosimamia vyombo hivi vitasimamia sheria na kanuni kama inavyopaswa.
Taarifa siku hizi hazichakatwi, hazihaririwi. Uropokaji ndiyo umekuwa msingi wa utangazaji.
Kuna upande tasnia imepwaya...
Kimaadili, si sahihi. Na kiafya pia si sahihi. Nafikiri wengi tunaelewa madhara ya kujichua. Hatuwezi kupigia debe kitu ambacho tunajua kina madhara na kinakiuka maadili.
Swala la condom ni kinga dhidi ya magonjwa. Hivyo inachukuliwa kama tahadhari.
Siku ya jana, tumeshuhudia na kusikia hukumu iliyotolewa na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania juu ya kipindi maarufu cha Jahazi kinachoruka kupitia Clouds Fm.
Hukumu hiyo imekuja baada ya watangazaji wa kipindi hicho akiwemo G. Habash, Dj Fetty na wenzao kukiuka miiko na maadili ya utangazaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.