Recent content by rajshar

  1. rajshar

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Ya second slot kwan hawaoneshi mkuu.? Jarib na hii tafadhar S3213/0057/2010
  2. rajshar

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Kama bado upo online msaada wako muhimu kwangu. Nchekie hii S3213/0053/2010
  3. rajshar

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Kama bado upo online msaada wako muhimu kwangu. Nchekie hii S3213/0053/2010
  4. rajshar

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    Mkuu niangalizie na hii tafadhari. S3213/0053/2010
  5. rajshar

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Mkuu katika maelezo yangu mwanzo hvyo vitu tunavyodeal navyo ndo vilikua vya kwanza kuorodehesha but hzo cereal ilikua kama addition unaweza isoma kama unavyojua pale kuna elective na core. Annual crop ni choice yako usome au uache. Hvyo tu.
  6. rajshar

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Yah i know soil composition.
  7. rajshar

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Yah.. horticulture nilishakwambia inavyohusika, agronomy inahusika na udongo tu. Sayansi ya udongo ila na baadhi ya mazao kama hayo annual crop wanasoma sana sana maize.
  8. rajshar

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Afu ww ni kijana wa kwiro ee?? Maana naona hako kanyerere dom.
  9. rajshar

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Yah yote hzo unasoma. Coz hadi rocks ambayo ya agronomy utasoma, hasomi hzo pekee. Kuna course inaitwa annual crop.
  10. rajshar

    Karibu Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro

    Wengi hua hawaijui inahusika na nini na baadhi yao hukatishwa tamaa. Ni degree program nzuri sana. Ni ya kilimo inahusika na kilimo cha matunda, spice, mboga, flower na hata annual crop like maize. Mtaenjoy saana. Karibun horticulture unit mnenepe kwa kula matunda ya kutosha.
  11. rajshar

    Morogoro - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Morogoro hapa ndo maana hawaendelei.... wanabore kinoma
  12. rajshar

    Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

    karibuni sua bata mnaziacha getini pale pa kuingilia, mkishaingia ndani jiandaeni na assignment na quiz za kutosha. ukweli umpe umpendaye si kwamba nawatisha:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
  13. rajshar

    HESLB acheni kuwavumilia hawa watu 7787

    Sasa unataka wenzako wasipate? Kwa nia njema inabidi warekebishe ili washugulikiwe, kukosea kawaida sana. Na huu utaratibu upo tangu mwanzo. Punguza harak mda wa kutoka matokeo utafika najua unashahuku kubwa ya kuona kama utapata mkopo ila kua mvumilivu tu
  14. rajshar

    Kudisco chuo na kupata usaili upya

    Hata chuo hko hko inawezekana..
Back
Top Bottom