Recent content by rajiih

  1. rajiih

    Mimi sitaandamana Oktoba 29, wewe je?

    Kwamba huyu ni mimi?! au Mihemko inakutesa mkuu.
  2. rajiih

    Mimi sitaandamana Oktoba 29, wewe je?

    Fuatilia vuguvugu la Madagasca Kenya na Nchi zilizo fanikiwa katika Maandano yao utagundua kitu. 1. Mipango 2. Lengo Kenya walikua wanapanga ni mahali gani tutakutania kisha wanafuata lengo lao kwa siku hiyo Maandamano yanaelekea wapii hii inasaidia kujua tathimini ya watakao Umia na hata Kufa...
  3. rajiih

    Mimi sitaandamana Oktoba 29, wewe je?

    Kwa Maandamano bado bado kwanza hatuko tayari.
  4. rajiih

    Mimi sitaandamana Oktoba 29, wewe je?

    sawa Report kwa Mods aweze kuuondoa
  5. rajiih

    Mimi sitaandamana Oktoba 29, wewe je?

    Wakuu wa Jf nawasalimu na poleni kwa Majukumu ya kila siku. Kwanza kabisa moyo wangu uko na upweke kwa mambo yanayoendelea Nchini kipindi hiki cha uchaguzi binafsi sipendezwi na kwa kiasi mpka nakufuru Mungu kwamba hayupo na kama angekuwepo basi angeweza zuia haya yanayoendelea Nchini kwetu...
  6. rajiih

    Jeshi la Polisi ndo linapoteza watu? Heche yuko wapi?

    𝙸𝚖𝚊𝚐𝚒𝚗𝚎 𝚗𝚍𝚞𝚐𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚊𝚗𝚊𝚙𝚘𝚝𝚎𝚣𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚑𝚞𝚓𝚞𝚒 𝚔𝚊𝚏𝚊 𝚊𝚞 𝚢𝚞 𝙷𝚊𝚒 𝚒𝚗𝚊𝚏𝚒𝚔𝚒𝚛𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚆𝚊𝚝𝚊𝚠𝚊𝚕𝚊 𝚠𝚊𝚓𝚒𝚝𝚊𝚏𝚊𝚔𝚊𝚛𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚓𝚊𝚙𝚘 𝚠𝚘𝚝𝚎 𝚗𝚒 𝚠𝚊 𝚔𝚞𝚏𝚊.
  7. rajiih

    Kwanini Yesu na Muhammad walikufa lakini shetani hafi?

    𝙼𝚔𝚞𝚞 𝚖𝚊𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚢𝚊𝚗𝚊𝚝𝚎𝚗𝚐𝚎𝚗𝚎𝚣𝚊 𝚑𝚘𝚓𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚗𝚐𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚢𝚘 𝚜𝚒𝚍𝚑𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚖𝚊𝚓𝚒𝚋𝚞 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚞𝚝𝚊𝚔𝚞𝚊 𝚗𝚊𝚢𝚘
  8. rajiih

    Kwanini Yesu na Muhammad walikufa lakini shetani hafi?

    𝙼𝚊𝚕𝚊𝚒𝚔𝚊 𝚗𝚊𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚔𝚞𝚏𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚜𝚒𝚜𝚒 𝚊𝚞?!
  9. rajiih

    GE2025 Wanajeshi kutoka Uganda wadaiwa kuingia Tanzania kuzuia maandamano ya Gen Z Oktoba 29

    Na JWTZ wanakubali vipi apo?! wananchi wake waumizwe
  10. rajiih

    Ya Israel na Palestine: Nimeamini Dunia Hii Tunafuata Sheria za Wakubwa Pekee, Si za Mungu

    Habari wakuu wa Jf poleni na majukumu ya kazi na simanzi ya Janga letu la pale Kariakoo. Ukifuatilia muenendo wa Vita huko Gaza ni dhahiri kabisa nafsi yako itakuuma na Mauwaji ya haraiki kila kukicha huku Dunia ikikaa kimya pasi zuio au katazo lolote dhidi ya dhulma hii ya wana Gaza. Je ni...
  11. rajiih

    Putin atia saini agizo la kuruhusu vigezo zaidi vya matumizi ya silaha za nyuklia

    Biden make sure Dunia inapasuka kabla ya December
Back
Top Bottom