Recent content by rajgeneral

  1. rajgeneral

    SoC01 Mimba za utotoni ni "kaburi" la ustawi wa Watoto wa Kike nchini

    Hili suala la mimba za utotoni limekua miaka na miaka , na hatufanikiwi kwa asilimia kubwa katika jitihada zetu kwasababu hatuangalii sababu kuu. Mabadiliko ya biologia ya mwili ndio huchangia kuleta uhitaji wa kufanya ngono, mwili huwa na mahitaji ya kiasili kila hatua ya ukuaji , ingekua sio...
  2. rajgeneral

    Shinyanga: Mwanafunzi ajitoa ujauzito kwa kijiti

    Je, haya mashirika yanayopambana kutokomeza ukatili wa kijinsia yanamsaidia binti aliyepata mimba katika kutimiza ndoto zake ?, au wao huishia kupambania aliyempa mimba afungwe.
  3. rajgeneral

    Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

    Amesema asilimia kumi ya kipato unaweka na asilimia tisini ndio unafanya matumizi .kanuni kuu hapa ni kusave hela kabla ya matumizi.
  4. rajgeneral

    Mwalimu ahukumiwa miaka 30 jela kwa kufanya mapenzi na binti wa kidato cha tano

    Wanaume Wana changamoto ya maumbile hivyo wanatakiwa waangaliwe katika mazingira ya matukio, kwani asili haipingiki.
  5. rajgeneral

    Wapenzi wa push-ups & squats

    Push up nzuri unatakiwa upige deep na taratibu , unashuka chini unatulia halafu unapanda unatulia , ukipiga push up namna hii kwa set utaona matokeo mazuri Sana.
  6. rajgeneral

    Hebu mshauri huyu mama

    Pole kwa yalokukuta huwa haya mambo hutokea hasa watoto wakiwa na mazoea ya uzungu na pia mzazi akiwa bize hawaangalii kwa ukaribu watoto, huyo kijana hiko ndo kipindi anakuwa na ashki ya hali ya juu kwahiyo wanavyobaki wenyewe huwa hao dada zake hujiachia yani huvaa nguo za kutamanisha hasa...
  7. rajgeneral

    Hebu mshauri huyu mama

    Inbreeding inaongeza chance ya kupata magonjwa hasa ya kurithi Ila hamna guarantee kuwa offsprings watakufa, na kuhusu kumfunga mwanae haitasaidia chochote . Sent using Jamii Forums mobile app
  8. rajgeneral

    I need help to control my sexual desires

    Thanks, together we can. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. rajgeneral

    I need help to control my sexual desires

    Female body produces three hormones as far as reproduction is concerned namely estrogen, progesterone and testosterone. Estrogen is produced by ovaries, adrenal glands and fat cells so if your fat it could lead to overproduction of estrogen and this hormone among the effects it produces it...
  10. rajgeneral

    Wadada mnaweza kuwa kwenye mahusiano bila kuomba hela?

    Papuchi ni lazima kwasababu ndio maana ya mahusiano . Sent using Jamii Forums mobile app
  11. rajgeneral

    Wadada mnaweza kuwa kwenye mahusiano bila kuomba hela?

    Uhusiano wa mapenzi lazima kunyanduana, kuhusu hela kwani hayo ni mahusiano ya kibiashara. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. rajgeneral

    Dah! Wakuu, nahisi nimegongewa

    Wazee wa roho mbaya mademu wanawakubali kimoma baada ya tukio, wazee wa operation , daktari mpasuaji hatakiwi kuwa mwenye huruma. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. rajgeneral

    Sio kitu kizuri kumdhalilisha mzazi mwenzako hasa mkiwa mmetengana, mnatengeneza chuki kwa watoto

    Mkuu umeongea vyema Sana, roma aliimba akimwambia mwanae wa kiume akikua ataona , baba huwambia mwanae wa kuime uhalisia na ukweli vivo hivyo mama kwa mtoto wa kike. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. rajgeneral

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Yani wanafurahisha Sana na wanachukiza, wanaona kila mtu ni hajui. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. rajgeneral

    Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Hawa jamaa noma eti mtu anakulazimisha uwe tajiri, huu wema haupo kwenye binadamu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom