Waafrica walikuwa wakwanza kuvumbua vyote kumbuka wahunzi na pyramid za misri ..walichofanya ni kufuta historia tuu
Misri wakageuza jina ikaitwa Egypt.
Kwa MTU alie Fanya mema kwa alieumba kifo huyo MTU huenda akapata hayo ulioeleza
LAKINI alietenda ovyo Na muumba kifo
Yatakuwa makubwa mno ..makubwa mno yasioelezeka
Kuna jamaa walimodify biblia kwa kutumia akilizao nyingi ndo maana tunaona mkanganyiko huu..biblia sio takatifu bali ni TAKA...tifu .....nakumbuka naanza kuisoma mwanzo : mungu aliumba usiku na mchana na nuru...baada ya siku kadhaa likaumbwa Jua ..sasa usiku na mchana utaanza vip haliyakuwa jua...
Nyongeza ukiachana na mwezi kupasuka marambili miaka ya 600 AD (reff quran)pia dunia itabadili mfumo wa kujizungusha hivyo hakuna kifaa kitakachoweza kuzalisha umeme(blackaut)..hayo marobot yatakuwa useless tutarudi zama za ujima tecnologia yoyote haitofanya kazi njaa na shida ilioje..then...
Japokuwa nchi yetu ni tajiri lakini haina pesa na facilities za kufanikisha hilo..
Ili kufanikisha itajikuta inahitaji wataalamu(wazungu) na pesa mikopo au msaada from benki ya dunia...
Yaani tunahitaji maadui wa maendeleo yetu kufanya maendeleo maendeleo yetu..NI NGUMU KUFANIKISHA KWA SASA...
Kuna Tajiri mmoja muarabu dar alikuwa na magari jumla 120...ila nlishangaa alivyokufa hakuondoka hata na spea tire..hata nguo zake walimvua wakamzika na nguo moja nyeupe amefungwa kama pipi.
Tukifa hakuna tunachootoka nacho zaidi ya mali na vitu visivyo shikika mfano wema, ubaya nk utajiri...
Watu wa kwanza walikuwa weusi ..baada Khanna kuzaliwa weupe tukaanza kuwatenga katika miji yao ama kuwatupa wakawa hawana kauli kwenye jamii ya weusi..sisi tulianza wao wanamaliza hahahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.