Habari.
Kwanza kabisa hongera kwa kupata mtaji.
Biashara ziko nyingi unazoweza fanya ila kwanza kabisa lazima ujue kuwa hiyo profit margin unayotaka haiko 'realistic' yaani ni ngumu sana kwa mtaji wa milioni 12 upate milioni 24 kwa mwaka. Biashara nyingi zenye faida kubwa sana huwa na risk kubwa...
Of course! hii game iko addicting sana, cha kufanya kwenye stage ya 13, angalia njia inavyoonekana kwa chini ndivyo ilivyo kwa ile ya hewani ilivyokaa, so jaribu kutumia hiyo hint. Ukipita hapo kuna stage nyingine mbili tu umalize.
Unaweza ku download challenging games nyingine kama hizi HAPA...
account ya scoan ya twitter ni https://twitter.com/SCOANTBJoshua. na sio iyo uliyoangalia. watu wengi maarufu wanachafuliwa na watu wanaotengeneza account fake kwenye social networks mbali mbali. SOMETIMES IGNORANCE IS KIND.
Nahisi ushindani umekuwa mkubwa na viwango vya washindani havijatofautiana sana ndo. Pia style za uimbaji ziko zinafanana hakuna anayeleta kitu tofauti sana. Ila hata hivyo wanajitahidi sana kubadilika nowdays hata videos ziko fresh sana..
hahahaaaa muziki.net ni website ya kawaida sana RAHATZ.COM ni crawler. Nime crawl website sio chini ya 1600 duniani ikiwemo na muziki.net . Zaidi ya download links milioni kumi za MP3 zimo ndani ya rahatz.com.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.