Recent content by Rais wa Arusha

  1. Rais wa Arusha

    CRDB Bank na wizi wa online purchases and transactions

    Sasa kama ushafunga accounts wataka nini tena?? Munatafuta kick tu humu.....siku hao Barclays wakikukalisha hautosema na unaonekana issue za banking bado una ugeni nazo......... International banks you better opt for the standard chartered bank only wako vizuri kila kona Local bank i prefer...
  2. Rais wa Arusha

    Majeshi ya Uganda watoa video ya uwezo wao, kabla ya uchaguzi

    Kwenu huko hakuna cha kuongelea?? Napita
  3. Rais wa Arusha

    Wataalam wa kuandaa CV

    Salaam, Wadau natafuta mtaalamu wa kuandaa cv kitaalamu ila awe anapatikana DSM Kama upo weka namba yako hapa tulonge au anicheki PM Waiting.......
  4. Rais wa Arusha

    Taarifa ya Umoja wa Mataifa yatuhumu wanajeshi wa JWTZ kwa kuwalea magaidi wa Kiislamu

    Unaacha kuongelea ya kwenu na shida zenu unaangaika JWTZ wetu......ongelea rushwa huko kwenu which is a critical social problem
  5. Rais wa Arusha

    Taarifa ya Umoja wa Mataifa yatuhumu wanajeshi wa JWTZ kwa kuwalea magaidi wa Kiislamu

    Serikali ya Kenya chini ya Uhuru Kenya imeendelea kutikiswa na ufisadi wa kutisha baada ya kubainika Jaji wa Mahakama Kuu Philip Tunoi Amejichotea dola milioni mbili sawa na shilingi bilioni mbili zaKenya kutka kwa Gavana Evans Kidero wa Nairobi mnamo mwaka 2014 ili ashinde kesi ya uchaguzi<br...
  6. Rais wa Arusha

    Taarifa ya Umoja wa Mataifa yatuhumu wanajeshi wa JWTZ kwa kuwalea magaidi wa Kiislamu

    Kwa taarifa yako Watanzania Jeshi letu tuna imani nalo kwa kila kitu hivyo vi report vyako uchwara mpelekee........ Africa na Dunia inajua weledi wa TPDF/JWTZ..
  7. Rais wa Arusha

    Tanzanian girl (21-year-old) stripped, assaulted by locals in Bengaluru, India

    Subirini marehemu aletwe nyumbani alafu musikie vilio vya watz.....utarudi tu kwenu bombay ukale pili pili hahaha...... Wagalatia sijui warumi utajua tu....au wewe ndo ulomvua dada yetu nguo huko kwenu india??
  8. Rais wa Arusha

    Tanzanian girl (21-year-old) stripped, assaulted by locals in Bengaluru, India

    Muhindi mwingine huyu hapa....hahaha limekugusa sio....subirini tumsikie balozi wenu anasemaje leo....mmezidi ubaguzi
  9. Rais wa Arusha

    Taarifa ya Umoja wa Mataifa yatuhumu wanajeshi wa JWTZ kwa kuwalea magaidi wa Kiislamu

    Watu hao wabaya na wasioipenda tanzania muongeze huyu MK254....konyo zake
  10. Rais wa Arusha

    Taarifa ya Umoja wa Mataifa yatuhumu wanajeshi wa JWTZ kwa kuwalea magaidi wa Kiislamu

    MK254......am sorry ila nahisi ulizaliwa kwa bahati mbaya.....mara nyingi sana unaleta mada za uzushi na ugombanishi kati ya KDF vs TPDF kwamba who is stronger than......leo umekuja na tuhuma kwa jeshi letu.....khaa Embu samahani....tuwekee CV yako hapa na if possible na academic certificates...
  11. Rais wa Arusha

    Tanzanian girl (21-year-old) stripped, assaulted by locals in Bengaluru, India

    Miaka yote wanafanya biasha Tz wanafanya nini? Wanajenga wapi? Magufuli Rais wangu mie nalia au tuingie kati kule tuwaburuze mtaani? Turuhusiwe tu
  12. Rais wa Arusha

    Tanzanian girl (21-year-old) stripped, assaulted by locals in Bengaluru, India

    Mhindi mmiliki wa Shoppers Plaza ampiga kijana (supervisor) wa Kitanzania Vibao
  13. Rais wa Arusha

    Tanzanian girl (21-year-old) stripped, assaulted by locals in Bengaluru, India

    Salaam, Wadau natumai mumeshuhudia na kuskia kilichotokea huko India ambapo mwanafunzi mtanzania amedhalilishwa na mwingine inasadikika kuawa huko nchini India..... Je; hivi mbona tunavumilia sana sisi Watanzania? Je; Hawa wahindi waliopo Tz na ambao hatuoni namna wanavyosaidia japo kuisaidia...
  14. Rais wa Arusha

    Mwendesha bodaboda kortini kwa kosa kumbaka Askari JWTZ

    #tunataka kuskia kauli ya jeshi letu....hii ni fedheha maana hata askari wa aina hii kuisaliti nchi vitani ni rahisi sana....Inakuwaje unabakwa na boda boda mwenye mafunzo ya kuendesha piki piki tu? Huko mstari wa mbele kuipigania nchi itakuwaje? Hii habari ichukuliwe serious maana hapa tz...
Back
Top Bottom