Recent content by Raia mpya

  1. Raia mpya

    Acha kutafuta wapenzi au marafiki baada ya kufikisha miaka 40

    Mapenzi na urafiki havitafutwi wala kulazimishwa , huwa vinakuja vyenyewe muda sahihi ukifika. Ukitafuta hivo vitu lazima kikurambe
  2. Raia mpya

    Kama huna sababu usiingie kwenye mahusiano

    Ahsante ila niushauri pia
  3. Raia mpya

    Kama huna sababu usiingie kwenye mahusiano

    Aisee mpka natetemeka kwa yakionikuta
  4. Raia mpya

    Kama huna sababu usiingie kwenye mahusiano

    Ndugu zangu kama kijana mwenzenu nawashauri kama huna sababu za msingi usiingie kwenye mahusiano, Mahusiano ya sasa ni hasara tupu, hakuna faida hata moja utakayopata zaidi ya kujiongezea matatizo.
  5. Raia mpya

    Mnafanyaje hadi mnapendwa?

    Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo? Au ndio hela?
  6. Raia mpya

    Takwimu: Tanzania kuna waislamu Milioni 22 tu sawa na asilimia 34.01% ya idadi ya watu wote, halafu ukiwaambia wanakataa wanasema wako wengi

    Mi ni muislam ila huu ni ukweli kiacha mikoa ya pwani yote mikoa ya bara mingi wakristo ndio wengi, kuna mikoa hata siku ya iddi ifike hawajui
  7. Raia mpya

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Huyo unamgharamikia ni malaya kuliko hata wale wanaojiuza barabarani, ila ulivo zoba huwezi kujua mpka uwe na d mbili
  8. Raia mpya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Barca anaenda na mikeka ya watu
  9. Raia mpya

    Leo ni leo asemaye kesho muongo. Polepole kuongea na Watanzania saa mbili kamili usiku! Usikose!

    CCM NI ile ile watu wake ni wale wale 🎶 "Captain john komba"
Back
Top Bottom