Recent content by Raia mpya

  1. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    basi jibu tanga ishaondolewa hadhi
  2. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    sawa ila point ivyo ivyo ilivyo mbona inasahaulika na ipo kundi moja na wenzake
  3. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    mbeya ni mbugani kabisa bora Tanga
  4. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    sisi watu wa Tanga inatuuma sana, serikali inatusahau halafu mwisho tunaambiwa sisi wavivu
  5. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    hata kama ila serikali si imetenga bajeti kwa ajili ya majiji, kwa nini Tanga isiwepo?
  6. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    Tanga sio jiji , bajeti ya mwaka 2025/2026 katika miundombinu ya majiji haikuhusishwa hasa barabara kubwa ,na bajeti ya juzi ya mwaka 2026/2027 napo pia haipo kwenye list yaani mpaka Njombe ndani ikiungajishwa na Mbeya ila Tanga hola. Kwenye bajeti za flyover waziri wa ulega alitaja watajenga...
  7. Raia mpya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single maza Single maza wapo kwa ajili ya wanaume mabwege wajinga wajingwa wasiojitambua tu, ila kwa mwanaume anafahamu uanaume ni nini hawezi kuoa single maza kamwe!.
  8. Raia mpya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya master dating for 2 month sasa aise hii kitu ni nzuri sana

    kama yapi ndugu naomba kufaham
  9. Raia mpya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    sijawahi kuona kijana mjinga kama wewe
  10. Raia mpya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

    mwanamke akikwambia hakupendi we fanya shuhuli zingine tu, hivi viumbe havitaniagi kwenye hisia zao.
  11. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    HERI YEMU NYINYI JIJI LA TANGA NDIO LIMESAHAULIKA KABISAA SERIKALI HAINA HATA MUDA NAYO, HATA BARABARA YA KM 1 TU HAIJAWEKEWA😢
  12. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Huyu aliyefua na kuanika nguo, je hapa ni daraja la Kijazi Ubungo?

    Hii ni nigeria sio bongo
  13. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    hiyo point namba 7 bhna ndio wanayoitoa wenyewe wanaona ni sababu ya msiiingi kumbe ni upuuzi mtupu
  14. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nimejiuliza: Hivi Shetani kuna kitabu chochote ambacho amejitetea?

    kiukweli vingine shetani anaonewa ty
  15. Raia mpya

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nimejiuliza: Hivi Shetani kuna kitabu chochote ambacho amejitetea?

    kwa kuwa wewe ni mtibeli ungetupa huo mstari mmoja wabutetezi wake
Back
Top Bottom