Recent content by Rai Pazzy

  1. Rai Pazzy

    LAPTOP ULTRABOOK FOR SALE

    Bado ipo kaka
  2. Rai Pazzy

    LAPTOP ULTRABOOK FOR SALE

    Mkuu computer haina crack yeyote wala hakuna sehemu wino umevujia pia nilisahau ni touchscreen
  3. Rai Pazzy

    LAPTOP ULTRABOOK FOR SALE

    Kama kichwa cha habari kinavyosema. Mambo yamenikaba na kimfaacho mtu chake. Nauza laptop yenye specifications zifuatazo. Model: Lenovo T480s Processor type: intel core i5-8350U (8th Generation. Ram: 8 gb (expendable) Storage: 256 GB Storage type: SSD Graphics display: intel uhd 620...
  4. Rai Pazzy

    Laptop hp for sale

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Specifications za laptop ni kama zifuatazo Model: HP ELITEBOOK 830 G5 PROCESSOR TYPE: INTEL CORE i5 8350U 1.9 ghz up to 3.6ghz RAM: 8GB DDR4 STORAGE: SSD 256 GB PORTS: TWO USB 3.0 PORTS, 1 THUNDERBOLT 3 PORT AMBAYO UNAWEZA TUMIA KUUNGANISHA...
  5. Rai Pazzy

    Written Interview inavyopukutisha wataalamu

    Hii sio kwa kada zote, kwa wahadhiri na wakufunzi ni 70. Watendaji wa wakuu wa taasis (CEO) alama zao ni sitini, na watendaji wakuu wa vyuo nao alama zao ni 70. Hizo kada nyengine tofauti na hizo nilizotaja hapo ndo alama yao ni 50. Nakusihi pitia Rule 16 of the Public Service Recruitment...
  6. Rai Pazzy

    Written Interview inavyopukutisha wataalamu

    Alikuwa sahihi wala hakukulisha tango pori. Kwa mujibu wa Kanuni no. 16 ya Kanuni Za Uendeshaji wa Shughuli za sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma za mwaka 2021, alama za ufaulu kwa kada za wahadhiri na wakufunzi ni 70 ila kwa kada nyengine kwa mujibu wa kanuni hiyo hiyo ni 50. So...
  7. Rai Pazzy

    Msaada wa jinsi barua ya maombi ya kazi kupitia utumishi (ajira portal)

    Soma kwenye Tangazo la kazi...huwa wanaweka nani wakumuddress.
  8. Rai Pazzy

    Jinsi Utumishi walivyotuzuia watu zaidi 50 tusiingie kufanya usaili wa ajira

    Mimi nmemaliza darasa la saba mwaka 2009 na ninacho.
  9. Rai Pazzy

    Baadhi ya maswali TPA

    Mtu aliesomea HR anajibu nin hapo kwa mfano.
  10. Rai Pazzy

    Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

    Msomi udhaifu uko wapi wakati tuna mahakama zinazofata sheria.
Back
Top Bottom