lerman3x
Member
- Jul 3, 2022
- 95
- 286
- Thread starter
- #41
Hapana Mkuu kuna baadhi ya Kozi huwa zinahiyaji wataalam kutoka Field husika.Kwa hiyo ndio zimeanzishwa sasa?
Mfano Chuo cha Muhas lazima ukute Lecturer wa Development Studies (DS) , LECTURE wa IT. japo hizo coz hawatoi hapo.
Kiufupi OUT wana coz z Education so lazima wasake wataalam kwny Field husika