Recent content by rahimz

  1. rahimz

    WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

    Hebu ficha ujinga wako, hujui kama Tz ni kituko? Nendeni Uganda mkaone M7 anavyo deal na huu ugonjwa huenda akiri zitawakaa sawa
  2. rahimz

    Serikalini Wamekosekana Watu Wanaojua Crisis Management

    Mkuu hoja yako imeeleweka vizuri sana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. rahimz

    Serikalini Wamekosekana Watu Wanaojua Crisis Management

    Sindio maana tukafanya maombi ya siku 3, we dont need copy and paste. Bado tunasubiri tamko la babu wa loliondo nae Sent using Jamii Forums mobile app
  4. rahimz

    Serikalini Wamekosekana Watu Wanaojua Crisis Management

    Unafananisha mbingu na ardhi sio? Wenzio hizo nchi zimeshaanza kuwalipa pesa za kujikimu wananchi wake. Kima acheni kujifungia ndani tembeeni mkaione dunia Sent using Jamii Forums mobile app
  5. rahimz

    Edo Kumwembe amjibu Ole Thadei Mushi

    Kajifunze kuandika ndio urudi tena, mpuuzi mkubwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. rahimz

    CHADEMA yatafakari kuwapeleka wabunge wake waliovunjwa vunjwa na polisi nje ya nchi kwa matibabu zaidi , Corona yaleta vikwazo

    Mwangalie pimbi huyu yani unajisifia kabisa kumuumiza mwanamke katika karne hii?? Utakua either umelelewa maisha ya kichokolaa or unaishi kwenye umaskini. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. rahimz

    Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

    Acha kufananisha na dunia ya kwanza waliokuzidi kila kitu, sema ingekua Rwanda utaeleweka Sent using Jamii Forums mobile app
  8. rahimz

    Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

    Umeuwa mkuu, eti vigezo vyao ni kutokua na akili, na walivyochakaa ni hatari[emoji28][emoji28][emoji28] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. rahimz

    Ushahidi: UVCCM ndio waliofanya Vurugu kwenye Mkutano wa Mbowe Jimboni hai huku Polisi wakiangalia bila kufanya chochote

    Acha kujitoa akiri mzee, mdau ametumia vyanzo vyake makini kupata taarifa ambazo pasi na shaka zimeonyesha uhalisia wa tukio zima, Kama na wewe una mambo ambayo unataka kuyaweka wazi kwanini usifanye mwenyewe mambo ya jina sijui email for what for? IF you are a real men just do it.
  10. rahimz

    Unachukua upinzani wote, halafu!!

    tatizo la ccm inalazimisha kukubalika inatumia nguvu nyingi sana kujiainisha kwamba inakubalika kumbe kiuharisia haikubaliki, wanashindwa kujua kwamba watanzania wa leo wanauwezo wakuchambua mambo, inaingiaje akilini kila kukicha the same story flani kajiunga na sababu zao zote zinafanana kuunga...
  11. rahimz

    Hakuna mbadala wa CCM kwa miaka 100 ijayo

    mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe, ccm ni wepesi kama karatasi kujipambanua kote huko lakini mnawagwaya wapinzani kama mnajiamini kwanini msiruhusu tume huru ya uchaguzi? endeleeni kuwaita Mabeberu huku mnapeleka bakuli kinyumenyume.
  12. rahimz

    Mdahalo huru: Team android na Team iphone tukutane hapa

    Adroid naweza kusema zimetengenezwa kirahisi kwendana na watumiaji wake ndio maana Dunia ya kwanza ukitaja simu fasta ni Iphone kwasababu inaubora wa hali ya juu na isitoshe vitu vyake vingi nivyakununua
  13. rahimz

    GE2020 Bunda: Haijawahi kutokea Esther Bulaya avunja rekodi akusanya watu kwa maelfu,Wazee wa mji wasema niyeye tu Bunda Mjini Oct 25

    tatizo mkuu unatumia kiungo chakutolea uchafu kufikiri ndio maana unapata mawazo yaliojaa ukakasi
  14. rahimz

    Ole Sabaya: Mbowe, nyumba inawaka moto na maridhiano yaanzie ndani ya chama chako

    Hilo lengo lenu litawa-cost big time ,maana jumuiya ya kimataifa watawabana kila kona, kwakua ccm vichwa vyenu kama kuku kishingo endeleeni kushupaza tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. rahimz

    Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe ajivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga CCM

    Endelea kuota, Chadema ni taasisi imara na inazidi kua imara sasaivi ili uwamini jaribuni friend match tu bila police na tume ilio huru japo ya muda tu, You will thank me later Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom