Recent content by Rahimu kiwani

  1. Rahimu kiwani

    Inawezekana mwanaume kumsomesha mpenzi wako ambaye ulisoma naye sekondari ikiwa wewe ulifeli yeye akafaulu?

    Nimeamua kuwaletea huu uzi wana jamii wenzangu, hebu na tuanze Katika maisha ya mwanadamu ya kila siku tunayashuhudia mengi sana hususani pale unapoanza kubale ndipo season inaanza. Ukikumbuka ulipokuwa sekondari ulianza kukutana na watu tofauti tofauti kutoka maeneo au vijiji fulani fulani...
  2. Rahimu kiwani

    Uonevu kwenye kuchagua maudhui katika zoezi la Sensa

    Kudadadeki bora walivyonikata mie ktk usaili unaambiwa huko seminani mambo ni moto mambo ni [emoji91] tuseme tu wasili aiseeeeeee mliupiga mwingi koz sijatoa ongaonga nimepoteza nauli tu poleni sana mnaopata taaaabu licha ya kufanya janjajanja lakini leo mnalia hamlipwiiiiiiii poleni sana
  3. Rahimu kiwani

    Tuliowahurumia kwa kufeli darasa la 7 na kidato cha 4 ndo wanaotuhurumia huku ukubwani

    Salaam njema kwenu ndugu ,, ninashida ya kupata modem mwenye nayo anitafute WhatsApp by number 0773120431 natanguliza shukrani kwenu .
  4. Rahimu kiwani

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Sijajua vigezo walivyoangalia hawa watendaji kata maana wameamua kukata mmmmh
  5. Rahimu kiwani

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Maswali kumi utafikili nilikua necta dah halafu anaeuliza ni mkuu wa shule alienisaidia kutuma maombi anaefuqtia mkuu wa shule jiran tulienda kucheza ball tukatia fujo shuleni kwao anaefuqtia m/kata ana kisirani na mzee ,, [emoji26]
  6. Rahimu kiwani

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Msata ipo mkoa gani kaka
  7. Rahimu kiwani

    Natafuta mke

    Pp
  8. Rahimu kiwani

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mie hata jkt sijapita je napitaje hukonkwingine
  9. Rahimu kiwani

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Shida jkt niliombaga sikufanikiwa tukaishiaga tu wilayani
  10. Rahimu kiwani

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa mda gani kwenda huko jkt kujitolea mpaka watangazi nafasi au hata kama hawajatangaza??
Back
Top Bottom