Mkuu Eistein, kwa mwendo huu hakika kilichobaki sasa ni CHADEMA kuingia magogoni come october 2015. Wananchi wana imani sana na CHADEMA, wamechoka mfumo wa CCM na serikali yake, sasa wanataka mabadiliko na haya yote wanaona watayapata kwa CHADEMA. Leo hii, CDM iko kila kona ya nchi yetu, mijini...