Kwangu mimi niliona kama vile walipata mwanya wa kutoa vitisho hata kwa wananchi ili kuonesha kuwa pindi serikali tatu zikija na jeshi linauwezo wa kufanya lolote kwa kuwa wana zana zote.
Kwa lugha nyingine nyepesi; zile zilikuwa propaganda tu na kutumia resorces nyingi pasipo sababu.
Yawezekana kukupa taarifa hizo ni unafiki wa kutaka kukuweka sawa ili machoni pako aonekane ni mwaminifu!! Kwa maana nyingine anakufumba macho ya fikra pana kwa kukuaminisha kuwa kila afanyacho wewe unakijua kwa hali hiyo awapo kimya basi yupo tu! Na wewe utatulia ukijua kuwa yupo tu! kumbe ndio...
Heri ya PASAKA wana JF wote na hususani wana MMU!
Yawezekana wewe unayesoma hii mada upo mzima ki mwili, ila ki hali upo taaban sana kutokana na nijirusho ya weekend ndefu iliyopita.
Wana MMU, naomba kwa hadhali kubwa tusaidiane kutoa mawazo yanayotokana na uzoefu tulionao katika maisha yetu ya...
Tatizo ni kuwa sasa hivi baada ya watu kuona kila kiongozi amekuwa mwizi, sasa na jamii kwa kila nafasi mtu aipatayo anaitumia kwa kutengeneza pesa bila kujali kuwa ni halali au haramu. Hii ni tofauti na enzi zetu ambapo mtu akiokota kitu alikuwa akipeleka kanisani au msikitini. Leo wewe unaweza...
Kama Ney mwenyewe alimuuliza hiyo ni tabia gani ya kuchanganya mabinti kama kokote iweje yeye aje kutoa somo la tupo wangapi? Kama mimi ningekuwa mfadhili wa mradi huo, haraka ningewanyang'nya pesa yangu.
Usemi wa . Mtanzania ukitaka kuficha pesa weka katika kitabu! Sio wa ajabu. Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya uvivu wetu wa kufuatilia mambo yanayoihusu nchi yetu na jamii yetu kwa ujumla.
Yawezekana sote tusiwe na nafasi za kusimama kwenye majukwaa ya wazi, lakini kama tutashika kalamu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.