Recent content by Raga

  1. R

    CHADEMA yatoa Tamko kulaani matendo ya Balozi wa China

    Si hangaiki na mashetani kama Nape ila hicho kichina kama kimeletwa kama bidhaa tutamfundisha siasa.
  2. R

    UTAFITI: Kitanda kikubwa hatari kwa ndoa yako

    Hapa hamna kitu tena unaweka jukwaa la elimu haya majanga.
  3. R

    Rwanda yawarejesha watanzania 77

    Source mkuu.
  4. R

    Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

    Huyu mropokaji na mada zisizo na vielelezo ni sawa kichwa cha wendawazimu. Nasema kukichafua cdm si jambo jepesi hata kidogo. Namshauri aacha kunya humu jamvini.
  5. R

    Vurugu za jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!- Ni Dikteta Hatari Kuliko Spika Anne Makinda!.

    Ila kwel jamaa chanzo cha vurugu mara kwa mara kama vp aachie hicho kiti kinahitaji busara.
  6. R

    Vigezo hivi visitumike katika kutambua wahamiaji haramu....

    Kweli mkuu kama ni ya kweli basi Tanzania tumekengeuka katika haki za binadamu ila tatizo kubwa ni uongozi rushwa inatawala.
  7. R

    Mwanaume kufanya ngono bila kupizi tatizo n nini

    Dah! hilo nalo janga bora ukawaone madaktar mapema.
  8. R

    Why CHADEMA Moshi,Arusha,Dar,Mwanza,Shinya nga & Iringa na sio Kigoma?

    Nikwel huyo Zitto tatizo kigoma na kwa cdm kiujumla kwan hana mpango na kigoma wala chama ila kujijenga mwenyewe na maslahi yake kwani mara nyingi anaibua hoja na sioni mwisho wake. Makamanda twendeni tukawakomboe wanakigoma.
  9. R

    Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

    Hata kama ni wewe utajisikia pale unapoambiwa ukae meza mmoja na wauaji wa familia yako? Jamaa yetu angemwita pembeni na kumwambia peke yake na siyo kwenye mkutano wa AU.
  10. R

    Unafiki wa Hellen Kijo Bi Simba

    We ndiyo mnafiki usiyejali hata mamako unamtetea alivunja katiba kwa kuamrisha dola. Acha uwendawazimu.
  11. R

    Serikali tatu haiepukiki...

    Nakuunga mkono kwenye baadhi ya hoja, badala ya kutumia fedha kuhonga waandishi na kuwashawishi wananchi ni vema wakazitolea maelezo hoja hizi zilizopelekea kuwepo kinachoitwa kero za muungano.Ni kwani CCM hawataki serikali inayoshughulia masuala yasiyo ya muungano kwa upande wa bara iwepo?
  12. R

    Chuo cha Mtakatifu Agostino ni majanga

    Wewe inaoneka hata maana ya chuo kikuu hukijui na hiyo elimu haijakusaidia. Tafuta maana ya university usipake matope SAUT.
  13. R

    8805 applicants hawajachaguliwa first round selection kupitia TCU.

    Haya ndo mambo ya maana hongera kaka kwa taarifa. Wengine wajifunze ili wasilete umbea humu.
  14. R

    Uwiiiiii Nimekosa Chuo Jamaniii..!!!!

    Usipoteze mda fanya ulivyoelekezwa katika maelezo yako uliyoyatoa kwenye hoja yako. Pole sana dogo kama unamaanisha!
  15. R

    Gazeti la NIPASHE, Mmetdhalilisha WALIMU, Mtutake radhi.

    Kama kweli wameandika hivyo tatizo siyo gazeti bali ni mwandishi na kama amefanye hilo na wahariri nao wamo wakionesha upungufu wao katika uandaaji wa habari. Wasiwasemee wanafunz waliofel wajiongeze na wao hapopo.
Back
Top Bottom