sensitive data ziwe na password kwa usalama. Kuna umuhimu gani WA kuhifadhi picha zisizo na maadili? Unapata faida gani kuonesha picha za maumbile ya mwenzi? Naona cha muhimu tuachane na kuhifadhi picha zisizo na staha!
Shukuru Mungu hupotezewi muda. Cool down. Kila jambo na wkt wake.. Kila ndege lazima apate corresponding fitting partner! Usimlazimishe Mungu km we ni muoaji! You need not sth better but the best...and the best is hard to attain/reach at.
Big up mkuu kwa ku summarise vzr! Ukiona mtu anachepuka, hakuna sababu nyingine..hana huruma, hana upendo wa dhati kwa mkewe ama kuna mawazo ameyaruhusu yamfanye mtumwa wa ngono!!
Mkuu naomba kutofautiana na msimamo wako: Unless unasimamia point yako kwa kuchukua sample kubwa ya wanaume malaya.Wanaume wenye maadili, wenye kuheshimu wanawake wanajizuia.
Kwa upande mwingine, kama mtu anataka kufuata moyo wake utakavyo, ni wazi swala hilo si la mwanaume peke yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.