Wanawake na matiti yao...

Wanawake na matiti yao...

Me kudindisha kisa mtoto ananyonya hilo ni tatizo mtu kama huyo ni vizuri aonane na wataalamu
 
Ahsante sana Mkuu Sibonike huyu mtu anayeona kinyaa kuona maziwa ya mama anayenyonyesha lazima atakuwa na hitilafu ya namna moja au nyingine kichwani. Kuthamini matiti yao ni pamoja na kuwa tayari kuyatumia kuwapa maziwa watoto wao pale wanapohitaji kunyonya, na siyo thamani unayoifikiria wewe.

Nakubali utamaduni unabadilika tuna move forward na positive things vingine tunaacha. Breast feeding ni kitu muhimu. Perception ya kuangalia maziwa kwa mwafrika haiwezi kuwa sawa na jamii zingine hasa wakati wa kunyonyesha mtoto!
 
Last edited by a moderator:
Mimi napenda sana nikiona mwanamke anamnyonyesha mtoto.

Biologically ni kosa kumfunika mtoto wakati wa kumnyonyesha maana hataweza kupata hewa ya kutosha.

Kama wewe una tabia ya kumfunika mtoto na mtandio au na nguo yoyote ile unapaswa kuacha mara moja.

Na ukiona mtu anapata hisia kwa kumuona mwanamke anayemnyonyesha mtoto jua fika kwamba ana matatizo ya akili na mtu kama huyo anaweza kupata hisia hata akimuona mtoto mdogo akiwa uchi.[/QUOT

Well expressed
 
Tatizo sio matamanio kwa hali ya kawaida kabisa mtt anapaswa kunyonyeshwa kokote lkn awe amefunikwa japo yeye na ziwa la mama inamkinga mambo mengi sana mtt hasa kwenye macho ya watu wengi hilo ni kwa mtt turudi kwa mama, utakuta bibie ziwa hilooo kama ndala iliyoisha lkn bado analitoa mbela za watu kha sifa nyingine za kijinga sana
 
No akiwa public sio sawa kufanya hivyo usidanganye watu basi wenzetu weupe wangekufa wooote mana wanathamini sana maziwa yao hasa wakati huo wa kunyonyesha huwezi kumkuta mzungu ziwa lipo nje huku mtt ananyonya never bana usipotoshe waafrica tukaendelea na huu ulimbukeni.
Mimi napenda sana nikiona mwanamke anamnyonyesha mtoto.

Biologically ni kosa kumfunika mtoto wakati wa kumnyonyesha maana hataweza kupata hewa ya kutosha.

Kama wewe una tabia ya kumfunika mtoto na mtandio au na nguo yoyote ile unapaswa kuacha mara moja.

Na ukiona mtu anapata hisia kwa kumuona mwanamke anayemnyonyesha mtoto jua fika kwamba ana matatizo ya akili na mtu kama huyo anaweza kupata hisia hata akimuona mtoto mdogo akiwa uchi.[/QUOT

Well expressed
 
ukitamani nyonyo la mwanamke anayenyonyesha, hakika unaweza tamani k ya binti yako.
 
mi mwenyewe nkiona matiti ya mwanamke kma n mazuri af ikatokea nko nae karibu lazima nimjaribu..
 
Haaaa haaa haaa watu8 umenichekesha sana... yani Mama natoa ziwa we unamsaidia kulirudisha kwenye blazia....daahhhhhh! like
 
Last edited by a moderator:
No akiwa public sio sawa kufanya hivyo usidanganye watu basi wenzetu weupe wangekufa wooote mana wanathamini sana maziwa yao hasa wakati huo wa kunyonyesha huwezi kumkuta mzungu ziwa lipo nje huku mtt ananyonya never bana usipotoshe waafrica tukaendelea na huu ulimbukeni.
Sasa wewe ndo unataka kupotosha watu maana unaanza kulinganisha wazungu na waafrika.
Ni asilimia 28 tu ya wanawake wa kizungu wanashiriki zoezi la breast feeding,the rest ni maziwa ya kopo kwenda mbele.
Suala la mtoto kunyonya ni sawa na kumlisha mtoto chakula sasa wewe kwa uelewa wako unaona ni sawa kumlisha mtoto huku umemfunika yeye pamoja na hicho anachokula?????
Its just a matter of mindset.

Mimi ctegemei kumuona mtu anamtamani mama anayenyonyesha mtoto unless huyo mtu awe ana matatizo ya akili.

Narudia tena ukiona wewe unapata hisia kwa kuona ziwa la mama anayenyonyesha ujue hata ukimuona mtoto mdogo wako wa kike utapata hisia za kimapenzi.
 
mpaka chakula ya mtoto unaitolea udenda! utaua nja.
 
Back
Top Bottom