Recent content by Raelish

  1. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Yoyote anayeguswa tafadhali naombeni mnisaidie, shule ndo mkombozi wangu
  2. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Nikipata hata million 1nilipe hiyo kwanza
  3. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Naombeni msaada wenu ndugu zangu wa jamii forum
  4. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Nimepigana pigana, sasa nimebahatika kuingia mwaka wa 3, naomba msaada japo Tsh.million 1 niweze kuendelea na masomo
  5. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Naendelea, ila hali mbaya sana ndgu yangu, hakuna cha kufanya ndo tumeshazaliwa... Hakuna wa kumlaumu
  6. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Muda mwingine unaweza kukufurukwanini ulizaliwa?
  7. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Maisha ni fumbo kubwa sana
  8. Raelish

    Nimemrudisha mke na mtoto ukweni baada ya kukosa kazi kwa miezi 3

    Eeeh Mungu kama ulivyonikumbuka Mimi katika mateso makali ya kimaisha mkumbuke pia na huyu kiumbe wako .amin.
  9. Raelish

    Kikwete: Wanaokwepa Kodi hawataacha kirahisi, Magufuli endeleza mapambano

    Wanasema jk hachomoi kwani nimechomeka nini? Teh teh teh
  10. Raelish

    Kukausha Hazina: Kikwete na Mwinyi wanajisikiaje?

    Hii mada ina kaharufu fulani hivi
  11. Raelish

    Kwa hili suala la MSD, Rais Magufuli na wana-JF kuna kitu hamkijui, ngoja niwasaidie!

    Kaka uchaguzi umeisha hata Magufuli mwenyewe aliwasisitiza wapinzani waache tofauti zote wamsupport kujenga nchi. Pia haiwezekan wakati wa uchaguzi wote wawe upande mmoja mzee, nini maana ya demokrasia sasa
  12. Raelish

    Men, Do you ever feel guilty for breaking a woman's heart?

    Huwa yanatokea hayo... Ndo mazoez hayo kabla ya mechi yenyewe (ndoa). So furahia tu ukitoka hapo utakuwa umeiva na utakuwa tayari kwa hatua inayofuata
  13. Raelish

    Dada zetu mbona mnawapenda sana 'Guys in Uniform'

    Ha ha ha ha ha 'achilia mbali sisi marubani' daaah aya bhana
  14. Raelish

    Mazingaombwe matokeo Darasa la Saba

    Hapo nafikiri wamebadilisha kutoka kweny grade kwenda kweny wastani na wakatumia sasa alama za kila mmoja sio daraja tena
  15. Raelish

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Nasikitika wengi waliahid kunisaidia lakin hawakufanya hivyo, nimepata sh laki 1 tu. Mungu kuwa nami msaada wa mwanadamu ndo umeishia hapa. Ahsanten uongozi wa Jamii forum kwa kuonesha Nia na pia kunisaidia, Mungu awabariki sana. Nini kinafuata baada ya hapa sijui itajulikana mbele kwa mbele.
Back
Top Bottom