Recent content by Radics

  1. Radics

    Kenyaforum: Who is your best conversationalist?.

    Geza, Annael, Mk, Colomhuzi and so many..uzi.umetulia big up K
  2. Radics

    What does absence of COW at SGR launch mean?

    At last mmefanikiwa japo kama wanadai gharama mlipigwa kimtindo...kwa uzinduzi huu hongereni sana majirani sasa ni fursa kwenu kufanya mradi huu uwe wa manufaa kwa nchi, nimeona hata kusafirisha kontena moja kutoka Mombasa mpaka Nairobi imekua 1,100,000tsh( 50,000ksh) hii imekaa poa sana...
  3. Radics

    What does absence of COW at SGR launch mean?

    Ni kweli kabisa wakifanya mazuri wasifiwe na wakifanya mambaya basi wakumbali matokea
  4. Radics

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Very educative and inspiring thread kaka..kudos for real...if there is stil vacant to attend the training please count me in...all the best kwenye maandalizi na team yako, this is awesome thread
  5. Radics

    Kuchepuka raha

    Have fun as its last, siku akija jua mumeo unaliwa nje haiya weee...utakua mdogo kama pilitoni..enjoy as u can but be ready to count ua losses akija jua na hio supa mtaribo yako itakua hukoooooo
  6. Radics

    Watoto Wataalamu Wa Kuunda App Nchini Kenya

    Different tymz kaka, we are in dot com era, when u were 15 t ws sumthing else man...
  7. Radics

    CONCERN: Why are all car manufacturers setting up shop in Kenya? Iko wapi Tanzania ya viwanda?

    Ni sawa kujenga Nairobi iwe HQ yao hata hivyo ni bora kuliko wakiwa na ofisi China, sasa hio.ofisi naamini itahudumia investment zao kwa hapa Africa ikiwemo Tanzania, cha msingi na serikali kuedelea kuweka mazingira safi kwa wawekezaji wavutiwe na nchi yetu, hatuna haja ya kujifananisha na...
  8. Radics

    Kenya beats Nigeria, South Africa in Africa's CEO plans

    Pepsi hapa ipo long time sana..nwa al th best
  9. Radics

    CONCERN: Why are all car manufacturers setting up shop in Kenya? Iko wapi Tanzania ya viwanda?

    Haswa Mkuu na hawa wenye hizi kampuni naamini watakua wanafanya utafiti ni wapi pana returns za.uhakika kwa biashara zao...kwa sasa hatuhitaji hizi assembly labda miaka ijayo..Kenya hata fuso na canter wanaingia show room..sasa hapa ni used imports...kwa hapa tunahutaji viwanda vya kuongeza...
  10. Radics

    CONCERN: Why are all car manufacturers setting up shop in Kenya? Iko wapi Tanzania ya viwanda?

    True kaka but also we need a cap used cars import at 8ys or below..mostly new cars are bought by the govt n rarely u see mwananchi wa kawaida going for the new year ones...
  11. Radics

    Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

    Oil zipo mpaka kilomita 15,000 especially kwa lorry, sasa hizi gari ndogo kilomita 3,000 ndio mazoea ya wengi japo zipo za mpaka kilomita 7,000 na kuedelea..oil pekee haitoshi kutumia Filter nzuri na yenye kiwango ni muhimu sana...oil pia inategemea na gari lenyewe inatumika wapi kwa mfano...
  12. Radics

    Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

    Aisee imekaa poa sana hili somo lako..thanks in loads
  13. Radics

    Amani imetoweka kwenye ndoa yangu kisa kukosa mtoto

    Pole sana ndugu kwa haya yanayokusimbu, hapa ushauri wangu na je mpaka sasa umeshawai kupata vipimo kwa wataalam kujua haswa tatizo ni nini...jaribu Aga Khan umuone Dokta Shafiq wengi akina mama wanasema yupo vizuri..all the best
Back
Top Bottom